🤣🤣🤣 mjeda atakuua weweBanaa wee, nimetongoza demu wa mjeda, alafu nikasahau code flani, nikamtumia message demu wake aje tulale, nikaona kimya nikapiga simu kapokea mwamba mwenyewe, usingizi umeisha nasubiri kesho pakuche nikazichape na mwana.. atae shinda ndio anachukua chombo 😅😅😅
Daah kwa hiyo muuza mwiko kakupeleka cha kike 😀😀😀03:03 nimehamia gheto jipya, ila tatizo nililo liona ni Kila nikipika ugali naona mchungu. Kumbe yule fala aliniuzia mwiko wa mti wa muarobaini.
👉 Bantu Lady Dahan National Anthem, Poor Brain, Mzee wa kupambania, Mwachiluwi, Analyse, Mafian cartel
😀😀😀 nani anataka ugomvi na wajeda aiseeMimi intelli na kamanda mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania tutakuja kukupa support ya kukuangaliaaaa so worry out.
👉So ukipigwa tuta hadithiaaa
Nina udhuru ya kimaandishi





Nipo mkuu kwema? KumekuchaHalf american wapi kijana
Inabidi tukamuibe na yeye nakila kitu chake, kama amekupiga mwiko03:03 nimehamia gheto jipya, ila tatizo nililo liona ni Kila nikipika ugali naona mchungu. Kumbe yule fala aliniuzia mwiko wa mti wa muarobaini.
👉 Bantu Lady Dahan National Anthem, Poor Brain, Mzee wa kupambania, Mwachiluwi, Analyse, Mafian cartel
Ivi Dahan anaishi wapi ? Nataka nimuibe na gari yakeMimi intelli, mwizi anaye chipukia National Anthem na mwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania
👉Sera zetu 👉 Panga mkononi
👉 Roho begani
😅😅 hapa nawaza nikionana asubuhi, sijui itakuwaje.. maana kuna issue nafanya, nilikuwa nataka mpiga kanzu ya mwili .. najua hawezi fanya kitu ila ndio kinyongo au kuundiana visa 😅😅🤣🤣🤣 mjeda atakuua wewe
Nilienda polisi kumtoa Mzee wa kupambania. Jamaa alikuwa ngome tokea Jana 😅😅
AminaUlale unono mpendwa
Asante sana bro. Moto ni ule ule 🤣Nilienda polisi kumtoa Mzee wa kupambania. Jamaa alikuwa ngome tokea Jana 😅😅
Ngoja tumsubiri Mzee wa kupambania ajeee tukafanye masacreInabidi tukamuibe na yeye nakila kitu chake, kama amekupiga mwiko