Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,774
- 54,845
Ilikuwa zamani siku hizi wanakalishwa tu 🤣Dahan kasema huyo kwao ni Kantalamba. So, muendee kwa upole 😅
Ilikuwa zamani siku hizi wanakalishwa tu 🤣Dahan kasema huyo kwao ni Kantalamba. So, muendee kwa upole 😅
Kule kuna radi za kupima mkuu 😅😅😅Ilikuwa zamani siku hizi wanakalishwa tu 🤣
Kuna mmoja alinijaribu ikamrudia 😀😀Kule kuna radi za kupima mkuu 😅😅😅
Mtu una mambo mengiii kama unga wa ngano
mara chapati, maandazi, keki sijui vireja looh..


bhna ni muda tuHuyo alikuwa mwepesi 😅😅Kuna mmoja alinijaribu ikamrudia 😀😀


ww acha kuingilia yasiyo kuhusu acha kujipa kazi
Sitaki kabisa Mzee wa kupambania yaani ngoja nijaribu block. Asante sana🤣🤣🤣 daaah! Yaani hutaki kuona comments zao kabisa sijui san hebu jaribu kuwalima 🧱
Ngoja tuone😂😂😂Sasa hapo unadhani Mzee wa kupambania atamuweza? 😅😅😅
Hana maajabu mtoto wa Sinza yule![]()
😅😅😅Battle la wazee wa usiku. Sisi tubaki kuwa watazamaji tuOh kwamba wasinza tuna nini?
Battle la wazee wa usiku. Sisi tubaki kuwa watazamaji tu



Jamaa anajitamba amezindikwa 😅😅Wewe si unawajua watu wa Goba wana akilia za wastaafu ndio shida![]()
Jamaa anajitamba amezindikwa![]()

watu tumeingia kwenye sufuria ikiwa jikoni na maji ya chemka yeye kachanjwa uko uchagani anaona kamaliza 

Na leo nitazificha tupu zake atulie sasa😅😅😅Battle la wazee wa usiku. Sisi tubaki kuwa watazamaji tu
Alikuwa anajua ila alikutana na dawa ya kiboko ya walonzi😀😀😀Huyo alikuwa mwepesi 😅😅