Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 4,208
- 7,772
EwaaaMi mwizi wa kimataifa tu, Nina vijana wenzanguMwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, na mwizi anayechipukia National Anthem
Sera zetu
Panga mkononi
Roho begani

EwaaaMi mwizi wa kimataifa tu, Nina vijana wenzanguMwenyekiti wa mizagamuano Mzee wa kupambania, na mwizi anayechipukia National Anthem
Sera zetu
Panga mkononi
Roho begani

Utauweza muziki wangu? Miye Mkurya hasira zetu wamasai wanatulia pembeni.Siku ukiwa kwenye hiyo hali nitag ninunue ugomvi🤣🤣
Wakurya ndio nawamudu vilivyo, hawafurukuti.Utauweza muziki wangu? Miye Mkurya hasira zetu wamasai wanatulia pembeni.
Halafu ni mchanganyiko so huwa na damu za huku na kule.
Nitakutag usijali, usikimbie tu...
Kama ungeropoka, Basi Ungenikomaa maana nilikuwa nina museum ya maneno leoo zuwenaaa aaSitaki ugomvi leo. Niko Kwaresma mimi. Nimeshakuwa Zuwena tena 😥😥😥😥 kale kembemba hata hatufanani
😄😄😄😄😄 Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.Dah shule mambo ya kutishana kuna siku waliingia bundi wawili bwenini saa kumi usiku dah tulitafutana![]()
Uliogopaa bure Bantu Lady coz it was mwanakijijiling wa enzi hizooo😄😄😄😄😄 Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!
Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
😂😂😂😂😂😂😂 Jipe moyo ulikutana nao fake, uliza kwanini tukapewa kanda maalumu?Wakurya ndio nawamudu vilivyo, hawafurukuti.
Siwezi kimbia utaona balaa lake 😂😂
Usithubutu kukutana na bwana pepsi 🤣
Nimekuona leo 1 haisomi, 2 haisogei 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama ungeropoka, Basi Ungenikomaa maana nilikuwa nina museum ya maneno leoo zuwenaaa aa
Ukisikia huu uzi upogo ujue huyo ni legendary kitambo sanaHuu uzi upogo
12:15

watu mna miaka mingi JfAsta la vistaaa zuwenaaa Bantu Lady03:00
Nilikuwepo ✌✌✌✌ Nawapenda sana....
Pisi ya Mheshimiwa hujambo
Mmeshindikana na taifa ila sio mimi nusu mmarekani 😅😂😂😂😂😂😂😂 Jipe moyo ulikutana nao fake, uliza kwanini tukapewa kanda maalumu?
Tumeshindikana na Taifa.
Ungeitika ungekua mayaIla kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!
Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!

Uutoe wapi wakati mwili umeshauzoesha lazima ikifika mida fulani uamkeDah usingizi hakuna