JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Dah shule mambo ya kutishana kuna siku waliingia bundi wawili bwenini saa kumi usiku dah tulitafutana [emoji28][emoji28]
😄😄😄😄😄 Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!

Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
 
😄😄😄😄😄 Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!

Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
Uliogopaa bure Bantu Lady coz it was mwanakijijiling wa enzi hizooo
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!

Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
Ungeitika ungekua maya[emoji28]
 
Back
Top Bottom