JamiiForums Usiku wa manane
Dah shule mambo ya kutishana kuna siku waliingia bundi wawili bwenini saa kumi usiku dah tulitafutana
😄😄😄😄😄 Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!

Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
 
😄😄😄😄😄 Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!

Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
Uliogopaa bure Bantu Lady coz it was mwanakijijiling wa enzi hizooo
 
Ila kwenye hizi shule nafikiri huwa kuna vitu, visivyo vya kawaida.
Jumamosi moja, nimemaliza zangu kufua shule huko. Nimeanika sasa napita mbweni, nyuma kuna mto. Kwanini nisisikie jina langu linaitwa!!!

Huko kwenye mto. Sauti sikuijua. Nikaambiwa ningeitikia ama kwenda ndiyo ningepotea mazima!!!
Ungeitika ungekua maya
 
Back
Top Bottom