Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,884
- 51,706
Dah we jamaa ubarikiwe sana
Dah we jamaa ubarikiwe sana
Sasa si kabobea uko 😂
Hiyo picha kwa profile ni wewe Duhan02:00![]()

Anapaswa kuwa na general knowledge ya uchumi pia😂Sasa si kabobea uko 😂
Uchumi anaona changa hesabu hakuna wewe muache atoe ubobezi wake ili wengine wajifubnzeAnapaswa kuwa na general knowledge ya uchumi pia😂
Na mibangi yako ☘️☘️☘️Koh koh koh yao yao
04:12.. Kanali G, Uchira 1 National Anthem trudie Half american Mr kenice Mwachiluwi Bantu Lady ndindwana Mzee wa kupambania Meldah na wengineee madodger ni wengii sana leo..
![]()
Unatuambiaje madojaUmeoga?Na mibangi yako ☘️☘️☘️
Mdogo angu... Leo nimepuliza.Na mibangi yako ☘️☘️☘️
Ilinibidi maana nzi walikuwa wananifuata kunilamba lamba sikuwa na jinsi ila sikupenda 😒Umeoga?
Ukiona kila siku unaamka peke ysko hakuna wa pembeni katafakariDirectly ni morning glory...Ifyu don garit fogerit
![]()

Utakufa siku sizakoMdogo angu... Leo nimepuliza.
Huu moshi umejaa gheto hadi macho yameanza kuuma daaah
...
Tatizo unaakili za kutosha kama za kim jong sio hizi za ndizi za kibongo bongo bangi inataka watu wenye high iq mkuuuMdogo angu... Leo nimepuliza.
Huu moshi umejaa gheto hadi macho yameanza kuuma daaah
...
Moja ya kitu muhimu Sana, ambacho vijana inatupasa tujifunzee.
Hebu fanya ku upload basi then ni tagUshazoea wakina kamo, mellow, focal, bohle, ntoshi, maparaa, sleazy, maphorisa hukoo
![]()
Hapana sema leo nimejichanganya tuu... Nilitaka nitest huu mziki mbu watauweza naona wooote wame kufaUtakufa siku sizako
Unakapenda hako kamchezo sanaTupo pamojaa... Umejiandaa na morning glory au we bado bado?![]()