JamiiForums Usiku wa manane
Hata wenzangu wananishangaaga sana ila ndo nilivyo

Nikiambiwa chagua Ke au mziki ntaenda kwenye muziki 😊😊😊😊 daaah

Napataga goosebumps nikisikiliza my fav songs

Hapa napata picha kwann Mungu alimfukuza shetani mbinguni muziki ni very powerful aseee
Ahahahahahahhah kama utachagua mziki alafu ukaacha she...
Wee ni mshamba 😂😂😂😂 wa karne
 
Ahahahahahahhah kama utachagua mziki alafu ukaacha she...
Wee ni mshamba wa karne
Mi mwenyewe sielewi mkuu

Response yangu ni tofauti sana

kama kuna amapiano niliwahi sikiliza aseee mwili ulitetemeka kama shoti na goosebumps ju asee daah ile feeling sijawahi pata kwa demu yoyote yule daaah muziki huuu

Unanipagawisha sana music
 
Mi mwenyewe sielewi mkuu

Response yangu ni tofauti sana

kama kuna amapiano niliwahi sikiliza aseee mwili ulitetemeka kama shoti na goosebumps ju asee daah ile feeling sijawahi pata kwa demu yoyote yule daaah muziki huuu

Unanipagawisha sana music
Alaaàaaaaaah
Wee inaelekea uliye nae ana shida kweli
Yaan ni don't care kabisa,😂😂😂
 
Mi mwenyewe sielewi mkuu

Response yangu ni tofauti sana

kama kuna amapiano niliwahi sikiliza aseee mwili ulitetemeka kama shoti na goosebumps ju asee daah ile feeling sijawahi pata kwa demu yoyote yule daaah muziki huuu

Unanipagawisha sana music
Hujawai kutana na kitu mnato.... Unaweza sahau ubet wa pili wa nyimbo ya Taiga😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom