Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,144
Mii pia nina high IQ mdgo angu ..Tatizo unaakili za kutosha kama za kim jong sio hizi za ndizi za kibongo bongo bangi inataka watu wenye high iq mkuuu
Sema leo macho yanawasha aiseeee najuta
Mii pia nina high IQ mdgo angu ..Tatizo unaakili za kutosha kama za kim jong sio hizi za ndizi za kibongo bongo bangi inataka watu wenye high iq mkuuu
😂😂😂😂Unakapenda hako kamchezo sana
Businessman.... Uzima upo00:45 kwanza kunywa chai, wenzio walitujadili wakavua tai.
Bantu Lady, Dahan, National Anthem, Mzee wa kupambania, Poor Brain, Mr kenice let's make it again
Naam Mkuu, ni kweliMoja ya kitu muhimu Sana, ambacho vijana inatupasa tujifunzee.
Kwani Kuna mengi makubwa katika somo hili.
Umeliwa na hiyo mibangi 😶😶😶😵😵😵😵Mii pia nina high IQ mdgo angu ..
Sema leo macho yanawasha aiseeee najuta
Unajua kwann bangi ni illigalUmeliwa na hiyo mibangi 😶😶😶😵😵😵😵
Sisi vijana wenzake tunataka maoni yake katika ujenzi wa Taifa😂, misambwanda haijengiUchumi anaona changa hesabu hakuna wewe muache atoe ubobezi wake ili wengine wajifubnze
Sina raha sana leo. Kwanza simba wamefunga 😏😏😏😏😏Bantu Lady wapi ilipo hii kitu au inafanya pushup
Vipi huwa unawekeza kwenye soko la nchi ipi mkuu, na katika kipaumbele kipi??Naam Mkuu, ni kweli
Kwann mkuuu 💩Unajua kwann bangi ni illigal
Mkujee huku😂😂😂![]()
![]()
![]()
Unatuambiaje madoja
Samahani hivi unahisi kwa Nini kakasirikaa???.Sina raha sana leo. Kwanza simba wamefunga 😏😏😏😏😏
Pili nilienda fanyiwa massage my babe hajapenda kakasirika 😥😥😥😥
Mkuu, mimi bado sijafanya uwezekazi huo lakini nina watu huwa wananipa taarifa za wao kununua hisaVipi huwa unawekeza kwenye soko la nchi ipi mkuu, na katika kipaumbele kipi??
Alishanikataza, niyeye tu anatakiwa kunifanyia. Mimi nimeenda leo mwili unauma. Tuyaache tu mmmh!!!Samahani hivi unahisi kwa Nini kakasirikaa???.
Afu usizidishe chuki kwa Simba maana utakuja kuwa mchawi uzeeni Bantu Lady