Mr kenice
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 5,054
- 8,300
Uchochezi uko wapi hapo.Acha basi kuchochea mkuu busara muhimu sana mkuu pale unapoona hakuna maelewano kati ya mtu na mtu
Nielekeze nielewe Ili niache kuchochea.
Uchochezi uko wapi hapo.Acha basi kuchochea mkuu busara muhimu sana mkuu pale unapoona hakuna maelewano kati ya mtu na mtu
Uchochezi uko wapi hapo.
Nielekeze nielewe Ili niache kuchochea.
Uelewa wako umekutuma hivoo. Soma vzr utaelewa mkuu,Ongelea swala la kusukuhisha na sio kuendeleza mada na kuaza kujudge watu kutokana tu na joke ya jana
Kila mtu ana life stly yake na sio kila kitu kinacho andikwa hapa kina mdifen mtu jinsi alivyo
Uelewa wako umekutuma hivoo. Soma vzr utaelewa mkuu,
Sina Nia ya kuendeleza.
Au mkuu Ushoga ni Normal kwako .
Basi sijachochea fujo mkuu.Sitaki kuongelea hilo swala
Basi sijachochea fujo mkuu.
Kua muelewa.
Sie pia tunameneno machafu ila tumezidiwa na busara kuliko uchafu.
Amani ituzidie kwetu![]()
Naonekana nimepaniki kijinga, ila ushahidi huu hapa☝️. Mr keniceMuone ulivyo mrembo kama juma lokole ngoja aje mzee wakupambani akuchukue.
😁😁😁😁😁🤣Nilishaazima ndo nazinduka sasaa bantu.Aisee siyo poa muziki wa hapo na warembo wa hapo acha, watoto white waarabu na vikaptura vya jeans.
Hivi bado ikifika saa 8 mnashuka chini? Bwawani raha sana unakunywa bia huku upepo wa bahari unakupuliza No jasho. Nitakujaaaaaa
🤣🤣🤣🤣Hilo halipo liaandaliwa kwa ajili ya mzee yusuph atakuwepo leoNjoo na gar leni lacham
Naonekana nimepaniki kijinga, ila ushahidi huu hapa. Mr kenice
Nisameheni Mimi jobless wa kimataifa, maana inaonekana nimekwenda nje ya utaratibu wenu,
Aisee wacha nicheze level yangu na majobless wenzagu, maana inaonekana ntakuja itwa jina jingine la ajabu kabisa.
Pole. Nn tabuSiko poa mkuu
Wakuu nadhan hatupaswi kukasirikiana na ikotokea tunasameheana na kwendelea na maisha mengineBroo nmetoka kumwagila bustani nasi Moyo kama wafanyavyo wengne.
Ila hii comment ipo seriously kabisa Wala sio jokes kama ilvo kawaida ya jamvi.
Vp uli mind mkuu,
Kama ni hvo bas samehe na sahau.
Be hamble.🤲🤝🤝
Mkuu umeandika kikubwa sana.everyone has their own way of interpreting something, one can take it for granted, another takes it wrongly, all this trick is the reason for interpreting the information and that is why I have apologized and I know that someone was very upset, that is why I copied the mistakes
hahahaha,utaota ujueWeeeeee video plz