JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wakuu samahanini sana jana kunamtu alinipiga na usingizi.
Si mimi kulala mapema vile ilihali nishatoa ahadi ya kutoa shift kazn mapema🤣🤣🤣
 
Siku moja jobless wa kimataifa nikiwa natembea mtaani, niliwaona mende wawili wakikimbizana kwa kasi kubwa.

Mende mmoja wao alikuwa ni dume na yule mwingine alikuwa ni jike mweusi, ghafla nilipigwa na butwaa baada ya kumuona mende dume akijaribu kumbusu mende jike kwa lazima.

Nikawaza 🤔🤔 vipi Kama anambaka??, Nikaamua nimsaidie ila kabla ya kutekeleza swala Hilo. Nilipata wazo jingine "vipi Kama yule mende jipya alikuwa ana kula hela za mende dume?? Na mzigo alikuwa hataki kutoa??

Nimeamua nikae ili niangalie show inavyokwenda, maana mi mwenyewe niko single so naweza pata uzoefu

Dah sijui nani ndo mwenye haki ??
To yeye Bantu Lady Dahan National Anthem Mwachiluwi
🙅
 
Baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na kazi.
Ndugu yenu niliamua nijaribu bahati yangu katika tasnia ya muziki.

niliamua kusafiri kutoka katika Kijiji chetu kinachofahamika Kama nchi ya wabahatishaji na kuamua kuelekea katika jiji la daresaaalamu.

Lengo langu kuu lilikuwa ni kuimba nyimbo 5, hivyo baada ya kufika stend ya mbezi, nilipokelewa na mwenyeji wangu boss Mwachiluwi aliyekuwa ameongozana na secretary wake To yeye .

Waliamua kunipeleka studio moja kwa moja Ili nianze kazi iliyo nileta, baada ya kuonana na produza.niliamua nianze kuimba nyimbo inayohusu maisha yangu Mimi jobless wa kimataifa.

Dah sijui nini kilitokea🤔🤔 kwani tokea asubui Mimi na produza tulikuwa tunalia hovyo 😥😪

Bantu Lady To yeye boss Mwachiluwi National Anthem Dahan na stow away
Mi niongozane na dogorasi? Au nimesoma vibaya
 
Najua mabwege wenzio ndo wamekuchochea, najua hata Kuna vijembe walikuongezea.

Kipindi unanitusi walisimama kidedea, Sasa nigga nakinukisha hakuna ruksa ya kima au nyani kuongea.
Broo nmetoka kumwagila bustani nasi Moyo kama wafanyavyo wengne.

Ila hii comment ipo seriously kabisa Wala sio jokes kama ilvo kawaida ya jamvi.

Vp uli mind mkuu,
Kama ni hvo bas samehe na sahau.

Be hamble.🤲🤝🤝
 
Muone ulivyo mrembo kama juma lokole ngoja aje mzee wakupambani akuchukue
Sijawahi kumlinganisha au kumtania mwanaume mwenzagu kuhusu ushoga, so sihusiki na life style yako story zako za kiwaki unazoona ziko too simple.

Iam sorry if I am causing trouble, itakuwa vyema mkipita njia yenu na story zenu za kina juma lokole. Mr kenice, is this normal??
 
Broo nmetoka kumwagila bustani nasi Moyo kama wafanyavyo wengne.

Ila hii comment ipo seriously kabisa Wala sio jokes kama ilvo kawaida ya jamvi.

Vp uli mind mkuu,
Kama ni hvo bas samehe na sahau.

Be hamble.🤲🤝🤝
Mkuu huwa napenda matani zaidi ya Sana, ila sijawahi thubutu mtania au kumlinganisha mwanaume mwenzagu kuwa shoga,

au kuuliza Kama yuko tayari kupakwa mafuta dah that's will never be normal men.
 
Tulikuwa tuna joke vizuri tu, tena nikijifanya zaidi ya zuzu ili game ichangamke.

but nashangaa naitwa juma lokole??, Mara nisubiri wazee wanipambanie duh, that is a big insult not to me mpaka kwa wazazi wangu. Damn Mr kenice
Hapa JF wengi wanaathiriwa na Nyuzi zinazozungumzia Ushoga iwe positive au negative.

Na hzi thread za Ushoga ndo zimetamalaki karb kila siku kunakia na Uzi maalumu WA mada hio.

Hua napata ukakasi hata kusoma thread hizo😨
 
Afu mtu anakuja anakuambia hakuna Cha kukasirika, je nilimtukana mtu??nilidhihaki utu wake🤔🤔, matani tunayoyafanya ni normal,

mpaka unaona naandika vile ujue nimewaza hivi mtu akija akasoma si ataona mi so mwanaume??🤔🙄

Wacha jobless wa kimataifa nitulie, huenda hizi mambo ni simple huko kwenu nyie .
 
Afu mtu anakuja anakuambia hakuna Cha kukasirika, je nilimtukana mtu??nilidhihaki utu wake[emoji848][emoji848], matani tunayoyafanya ni normal,

mpaka unaona naandika vile ujue nimewaza hivi mtu akija akasoma si ataona mi so mwanaume??[emoji848][emoji849]

Wacha jobless wa kimataifa nitulie, huenda hizi mambo ni simple huko kwenu nyie .

I'm sorry, I miss my friend, I'm sorry, I knew it was a joke, I didn't mean it, that's why I came here to apologize to you because the scriptures have warned us of the woes of a man who causes obstacles to his own strength I'm so sorry, I'm begging you to forgive me, I'm begging you to forgive me
 
Is not normal mkuu, sema vinafanywa viwe normal kikubwa tuvikemee Kwa pamoja.
Afu mtu anakuja anakuambia hakuna Cha kukasirika, je nilimtukana mtu??nilidhihaki utu wake🤔🤔, matani tunayoyafanya ni normal,

mpaka unaona naandika vile ujue nimewaza hivi mtu akija akasoma si ataona mi so mwanaume??🤔🙄

Wacha jobless wa kimataifa nitulie, huenda hizi mambo ni simple huko kwenu nyie .
,
 
Back
Top Bottom