JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Wacha hio kazi iende, haiwezekani mtu una kichwa kikubwa Kama papai

Wewe jiangalie huo mdomo uho mdomo uho

Ww ivyo vidole vimetamgulia mbele kama unachimba tangaziwa vipi? [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]

Na sura yako ngumu kama miamba ya ugweno vipi hali hiyo utapata mchumba mtu unanuka mdomo kama chemba ya choo eboo na nimekusimamisha kaZi
 
Back
Top Bottom