JamiiForums Usiku wa manane
Nakumbuka kipindi nasoma Kuna moment ilifika wajuba tukaona sasa tutafeli tusipo zingatia msuli.

Tuka anzisha Challenge iitwayo (MTOBOZI) Na atakae shinda Kuna dau nono atapatiwa ni hii dau tuliiita (Top layer).

Challenge hii inahusisha kukeaha ukisoma ndani ya sikumbili mfulukuzi bila kulala na uhakikishe unatoboa asubuhi. Yaan ndio maana halisi ya MTOBOZI.

NA ukishinda sasa unapata Ofa ya kupata top layer.

Kwa kipindi hcho hii top layer ilkua dili sana.
Kwangu nlishinda kila mara mana kukesha Kwangu ni maamuz tu. Ko top layer niliifaidi sana.
😛😛
Je top layer ni nini??🤔
 
Nakumbuka kipindi nasoma Kuna moment ilifika wajuba tukaona sasa tutafeli tusipo zingatia msuli.

Tuka anzisha Challenge iitwayo (MTOBOZI) Na atakae shinda Kuna dau nono atapatiwa ni hii dau tuliiita (Top layer).

Challenge hii inahusisha kukeaha ukisoma ndani ya sikumbili mfulukuzi bila kulala na uhakikishe unatoboa asubuhi. Yaan ndio maana halisi ya MTOBOZI.

NA ukishinda sasa unapata Ofa ya kupata top layer.

Kwa kipindi hcho hii top layer ilkua dili sana.
Kwangu nlishinda kila mara mana kukesha Kwangu ni maamuz tu. Ko top layer niliifaidi sana.
😛😛
Je top layer ni nini??🤔
Cha maharage au nyama mkuu
 
Nakumbuka kipindi nasoma Kuna moment ilifika wajuba tukaona sasa tutafeli tusipo zingatia msuli.

Tuka anzisha Challenge iitwayo (MTOBOZI) Na atakae shinda Kuna dau nono atapatiwa ni hii dau tuliiita (Top layer).

Challenge hii inahusisha kukeaha ukisoma ndani ya sikumbili mfulukuzi bila kulala na uhakikishe unatoboa asubuhi. Yaan ndio maana halisi ya MTOBOZI.

NA ukishinda sasa unapata Ofa ya kupata top layer.

Kwa kipindi hcho hii top layer ilkua dili sana.
Kwangu nlishinda kila mara mana kukesha Kwangu ni maamuz tu. Ko top layer niliifaidi sana.
😛😛
Je top layer ni nini??🤔
Tikiti 😂
 
Back
Top Bottom