Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Haina kwereNawatoroka muda sio mrefu
Haina kwereNawatoroka muda sio mrefu
Nawatoroka muda sio mrefu
Una lala vizuri sana. Utakuwa na afya na ngozi nzuri sana kwa kulala masaa yanayohitajika.
Hii ni nzuri sana kwao. Wacha walale masaa ya kutosha ili waendelee kuipamba duniaPia kwa mwanamke kuna tafiti zinasema usingizi umsaidia mwanamke kuwa na nyonga nzuri. (Kulala Utumika kama njia ya kuongeza nyonga)
Duh noma sana 😀 me nikilala chini ya masaa 6 kesho yake lazima usingizi unikamate mchana.Nikilala hivyo naweza jikutana saa tano usingizi umepotea wote. Na nikilazimisha masaa yote hayo naweza umwa bure mbavu miss![]()
Haha kawaida tu.Una lala vizuri sana. Utakuwa na afya na ngozi nzuri sana kwa kulala masaa yanayohitajika.
Hii ni nzuri sana kwao. Wacha walale masaa ya kutosha ili waendelee kuipamba dunia
Ndio kwanza naisikia hiiPia kwa mwanamke kuna tafiti zinasema usingizi umsaidia mwanamke kuwa na nyonga nzuri. (Kulala Utumika kama njia ya kuongeza nyonga)
Duh noma saname nikilala chini ya masaa 6 kesho yake lazima usingizi unikamate mchana.
5:57
Ndio kwanza naisikia hii
Duh! Kulala kwangu ni anasa. Na kipindi hiki napenda sana kusafiri usiku ili nifike alfajiri.Duh noma saname nikilala chini ya masaa 6 kesho yake lazima usingizi unikamate mchana.
Najitahidi, ila sometimes hali ya hewa inatuminya. Muda mwingine jua haliwaki, au linakuwa tulivu basi hamu ya maji unakosaHahaha penda kunywa maji mengi pia miss!
6:00Upo macho au unataka tu kunikondesha mwenzio, ngoja nikupe vitu
Tutafute pesa ndg hawa wote tutawamilikiWengine tuendelee kusafisha macho na kula kwa macho!
Mambo5:57
Oh hadi kulala ni anasa jamani 😀Duh! Kulala kwangu ni anasa. Na kipindi hiki napenda sana kusafiri usiku ili nifike alfajiri.