Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,985
- 189,557


Tukilala sana wengine ni 2 hours. Wa-arabu wapemba wajuana kwa vilemba kulikoni wewe twakuona pia kila siku?
Hivi ninyi daily mnakatikiwa usingizi!! Kichwa Kichafu Drizzle


Tukilala sana wengine ni 2 hours. Hivi ninyi daily mnakatikiwa usingizi!! Kichwa Kichafu Drizzle
Daily hili ndio life languHadi kwa weekends? Me niliamka kususu na usingizi umekata![]()



Pande hizi jana kulikuwa na mvua ya kishindo hadi mishe zimefail.
True, kama kulala tushalala sanaTukilala sana wengine ni 2 hours.
Wa-arabu wapemba wajuana kwa vilemba kulikoni wewe twakuona pia kila siku?
Duh! Hapo ni kutafuta mbadala wa joto hakuna namnaJana huku umeme walifanya yao na joto hili linalosemwa nimeongezeka kwa 3°C duniani mambo hayakuwa mambo!
Ana chura?
Hadi kwa weekends? Me niliamka kususu na usingizi umekata![]()
True, kama kulala tushalala sana
Mimi huwa napata sana rahaa kuipiga piga vimakofi vya hapa na paleMzee wa chura katika ubora!
Chura huwa inavutia kutazama barabarani tu hakuna maajabu zaidi ya pale.
Nakubali jamaaWengine wanaenda mbali wanasema kulala ni mazoezi ya kufa!
Duh! Hapo ni kutafuta mbadala wa joto hakuna namna
2hrs machache mno, jitahidi uongeze.Tukilala sana wengine ni 2 hours.
Wa-arabu wapemba wajuana kwa vilemba kulikoni wewe twakuona pia kila siku?
Kama hiliMimi huwa napata sana rahaa kuipiga piga vimakofi vya hapa na pale


Mimi huwa napata sana rahaa kuipiga piga vimakofi vya hapa na pale
Duh! Hiyo hatari hapo ni kushinda na boxer tu kama ni life la kigheto gheto dadekiMchana jua linakukimbiza hadi chini ya uvungu wa kitanda.
Una lala vizuri sana. Utakuwa na afya na ngozi nzuri sana kwa kulala masaa yanayohitajika.2hrs machache mno, jitahidi uongeze.
Me tatizo uwa nawahi kulala, saa 3 usiku nishapotea usingizini. So ikifika kumi kasoro hivi au kumi na moja lazima niamke.
Nawatoroka muda sio mrefuHeri hili tufunge gate pamoja kwa ushirikiano wote!
2hrs machache mno, jitahidi uongeze.
Me tatizo uwa nawahi kulala, saa 3 usiku nishapotea usingizini. So ikifika kumi kasoro hivi au kumi na moja lazima niamke.