JamiiForums Usiku wa manane
Mimi huwa napata sana rahaa kuipiga piga vimakofi vya hapa na pale
Kama hili
1898015_Insta-image-3.jpeg.jpg
 
Nikilala hivyo naweza jikutana saa tano usingizi umepotea wote. Na nikilazimisha masaa yote hayo naweza umwa bure mbavu miss
2hrs machache mno, jitahidi uongeze.

Me tatizo uwa nawahi kulala, saa 3 usiku nishapotea usingizini. So ikifika kumi kasoro hivi au kumi na moja lazima niamke.
 
Back
Top Bottom