Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Six packs ni kujitesa?Niligundua najitesa tu![]()
Six packs ni kujitesa?Niligundua najitesa tu![]()
Six packs ni kujitesa?
Kujitesa tu, bila kitambi napata tabu kufuta vumbi simu yangu!



ulikuwa role model wangu, nikajipa muda nikiona kuna matokeo chanya kwenye mazoezi yako nitajumuika nawe. Kumbe umesandaulikuwa role model wangu, nikajipa muda nikiona kuna matokeo chanya kwenye mazoezi yako nitajumuika nawe. Kumbe umesanda
Wacha nizisake mzeeTafuta hela tu.
Inatokeaga hasa ukiwa umepaniaNimejaribu a lot of times machine ni malfunction
Daaaaah yaan wee mtu lolUjue umebanwa mkojo uka
ukaenda kukojoa ukarudi unaanza kutu-zoom
Ngoja tuwasubiriLeo najua lindoni kutakuwa na walinzi wengi maana hii mechi ya Bayern VS PSG itawaleta hapa😁😁
My wish has came to pass. Bayern kamchapa PSG kimoja tuNgoja tuwasubiri