Drizzle
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 4,857
- 14,747
Six packs ni kujitesa?Niligundua najitesa tu[emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Six packs ni kujitesa?Niligundua najitesa tu[emoji1493][emoji1493][emoji1493]
Six packs ni kujitesa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa role model wangu, nikajipa muda nikiona kuna matokeo chanya kwenye mazoezi yako nitajumuika nawe. Kumbe umesandaKujitesa tu, bila kitambi napata tabu kufuta vumbi simu yangu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ulikuwa role model wangu, nikajipa muda nikiona kuna matokeo chanya kwenye mazoezi yako nitajumuika nawe. Kumbe umesanda
Wacha nizisake mzeeTafuta hela tu.
Inatokeaga hasa ukiwa umepaniaNimejaribu a lot of times machine ni malfunction
Daaaaah yaan wee mtu lolUjue umebanwa mkojo uka
ukaenda kukojoa ukarudi unaanza kutu-zoom
Ngoja tuwasubiriLeo najua lindoni kutakuwa na walinzi wengi maana hii mechi ya Bayern VS PSG itawaleta hapa😁😁
My wish has came to pass. Bayern kamchapa PSG kimoja tuNgoja tuwasubiri