chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,540
- 2,683
05:44
Mhmhhhh upo1:00
Walinzi nyie wa msimu, nimekuja kufunga lindoSays who?.,
Umekosa usingizi kama mimi?.
Anzisha ibadaTusali japo kidogo jmn.,muda mzuri huu
Mungu aturehemu![]()
Safiiiii ameeeeennnnWewe Mungu wetu, muumba wa mbingu na nchi tunakushukuru kwa ajili ya usiku huu ambao umekua wenye baraka tele.
Tunakusihi utusamehe dhambi zetu na makosa yetu, sisi ni watoto wako, tunaikabidhi mipango yetu yote mikononi mwako, bariki mawazo yetu, bariki kazi za mikono yetu, ponya wenye shida nao taabu mbali mbali. Kwako peke yako kuna uponyaji na faraja ya kweli.
Tunapokwenda kwenye kipindi cha uchaguzi tunakusihi ukasimame wewe mwenyewe, wewe ukawe kiongozi wetu Mkuu.
Tunaomba mambo haya na yale ambayo hatukuyaomba ukapate kutubatikia kama mapenzi yako na si kwa mapenzi yetu. Amen
Ulilala saa ngapiPoleh.,mi niliwahi kulala saivi nmekua popo![]()
Kabisa,0414
nimepita mara moja, mko poa?
Upo macho sioKarbu
Muda saa 6 hiiMi nasubr walau 11:30 nianze ratiba zangu
Na kwako pia,0425
Mungu awajalie nyote siku njema ya leo na wiki njema tunayoianza
Mipango yetu na maisha yetu tunaiweka mikononi mwako Mungu wetu
*Sala ya Bwana*
Amen![]()
Ua missed5: kasoro 6
Na kwako pia ikawe hivyo0500
Is the best time kuanza siku yako
We gas bado hujalala05:44
Njoo tufanye wote mazoeziKumekucha mazoez kidogo
We mtu upoNafunga lindo
Nipo kaka mkubwa, niaje pande hizo?We mtu upo