Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,952
Kwa nini wasema hivi ?Acha nikae kimya wenye kustahili pongezi zao watajibu![]()
Kwa nini wasema hivi ?Acha nikae kimya wenye kustahili pongezi zao watajibu![]()
Achubuhi njema guys![]()
Ndo maana nikashangaa nimekutumia sms haukujibu nilikuwa nishahadithia watu kuhusu hilo chimbo ila sio mbaya unaweza kunielekeza nikaenda maeneo hayo .
Yani na ww ukatangaza
ukawa unasubiria
basi tulia nitakuonyesha.Kwani ww ujaona hizo pongezi ni zauchochezi kabisaKwa nini wasema hivi ?


huyo mwanachi ametuma.😂😂 wewe elewa nilichokisema. usiongeze usipunguze meku![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbe ndio nipo hivyo!
wewe elewa nilichokisema. usiongeze usipunguze meku
Sawa kaka mkubwa na chora na msitari kabisa kuonesha Emphasize.Haya unitumie picha si unajua napenda mambo hayo .![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Yani na ww ukatangaza
ukawa unasubiria
basi tulia nitakuonyesha.
Muda unakimbia mno05:10
Kama vp nitakufungashia kabisaHaya unitumie picha si unajua napenda mambo hayo .

Mimi nimeona kama salamu ya kawaida .Kwani ww ujaona hizo pongezi ni zauchochezi kabisahuyo mwanachi ametuma.
Kweli ? nisije kujipa hopes bureKama vp nitakufungashia kabisa![]()
Watu hatujala kabisa ujue kwahiyo hiyo salaam inaashiria kuwa kumekucha alafu mm nilitaka pasikuche mpaka nilaleMimi nimeona kama salamu ya kawaida .

Embu kaa kwa kutulia kwanza tuliza kimuwe muwe itaanza picha alafu hiko kifurushi nitakufikiria we mwenye nyota ya simba.Kweli ? nisije kujipa hopes bure
Pole aisee mie nasubiri kumi na mbili ifike nianze mishe nishajiset hapa .Watu hatujala kabisa ujue kwahiyo hiyo salaam inaashiria kuwa kumekucha alafu mm nilitaka pasikuche mpaka nilale![]()
Nilale mpaka saa 3 basi sijui kama nitapata huo usingizini maana na jirani yangu anapiga sana muziki asubuhi.Pole aisee mie nasubiri kumi na mbili ifike nianze mishe nishajiset hapa .
Hahaha mimi nina nyota ya simba kivipiEmbu kaa kwa kutulia kwanza tuliza kimuwe muwe itaanza picha alafu hiko kifurushi nitakufikiria we mwenye nyota ya simba.
Nishasahau mambo ya jirani kupiga kelele mie nikiamka ndo dj huku kitaa ninakiwasha hapa .Nilale mpaka saa 3 basi sijui kama nitapata huo usingizini maana na jirani yangu anapiga sana muziki asubuhi.