Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,059
Sijui nitaacha lini masihara, utani na mizaha mm [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila ndio maisha yangu simiss ila we mzee ngoja nikuache na kitendawili ni
"member wa JF ukitoa herufi mbili za jina lake unatapa jina la msanii wake pendwa huyo member" nipe jibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"member wa JF ukitoa herufi mbili za jina lake unatapa jina la msanii wake pendwa huyo member" nipe jibu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]