Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Sasa hapa kwenye vikings ooh nimeangalia sana na bado naangalia hii series mzee.soma kidogo tu kisha soma zaidi kuhusu VIKINGS au kama unayo series yake tazama. Inaelezea hizo nyakati za Vikings..unaweza jua why waliebda Norway
Ushaniacha 😂😂 japo bango nimelipokeaSijui nitaacha lini masihara, utani na mizaha mmila ndio maisha yangu simiss ila we mzee ngoja nikuache na kitendawili ni "member wa JF ukitoa herufi mbili zake mbili unatapa jina la msanii wake pendwa huyo member" nipe jibu
![]()
Soma vizuri swali changamsha ubongo huoUshaniachajapo bango nimelipokea


Same too you.Mates, Goodnight
Marvel ni upuuzi alafu hero wangu wa all time ni Captain.
Maisha ya humu JFni miyeyusho sana unaweza pata mfadhaiko wa moyo
acha nilale nimefurahi sana
ila siku watu wakiacha utoto humu nazani na umasikini utaisha kabisa.
Movie zenye ni utoto utoto story za kufikirika sana na ni impossible kutokea hizo mambo.
Nilijua lazima ungekuja hapa tulakini juwa Mungu ndio kila kitu alafu technology ndio inafuata Quantum physics ni theory tunachezeana akili hapa.
Hahahaha, ila hizi za marvel ni utoto Fulani Hv, hivi hawana games zao nimnunulie DogoNa ndiyo maana asilimia kubwa ya movies za marvel ni sci-fi (science fiction) hivyo mambo mengi yanayoongelewa mule hayana uhalisia, ukilielewa hili wala hautaumiza kichwa sijui oh marvel waongo sijui nini.
After all mimi bado sijaelewa kwanini watu wanataka kila kitu kwenye movie kiwe cha kweli, nini maana ya movie.
Ukilpwa mafao yako unialike nije tuyale wote😘Kama Hannah Kichwa Kichafu @Nreterewa nganenengo Thad @ Iceman3D nk wamestafu lindo. Mimi ninani hadi niendelee.?
Mh.Mwenyekiti Nami natangaza kustafu lindo naomba mafao yangu ya ya toka May 2017 nilopoanza kuingia uzi huu
Ahsante
Ndimi Don Nalimison
Hahahaha, ila hizi za marvel ni utoto Fulani Hv, hivi hawana games zao nimnunulie Dogo
Ni nzuri ila kwangu zimekaa kitoto