MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,452
- 69,332
same t yuh12:02
Saturday, Aug 1
Happy new month walinzi.
More blessings upon y'all

God is good0000 n
Alive

Njoo tupige kazinimekuja 0020 kulala lindoni.
Zzz
Marvel wanaweza wakawa wapuuzi ndiyo, ila kwa vyovyote vile bado hawajawafikia DC kwa upuuzi.



Wote wapuuzi.Maisha ya humu ni raha sana mzee wangu mm nina nina miliki penthouse yangu ww unamiliki nn mzee wanguHahahah, kwanini tena mkuu.




Sio ukweli uhalisia uwepo kidogo zisiwe kama zile movie za kihindi unapaa paaa kama unamabawaNa ndiyo maana asilimia kubwa ya movies za marvel ni sci-fi (science fiction) hivyo mambo mengi yanayoongelewa mule hayana uhalisia, ukilielewa hili wala hautaumiza kichwa sijui oh marvel waongo sijui nini.
After all mimi bado sijaelewa kwanini watu wanataka kila kitu kwenye movie kiwe cha kweli, nini maana ya movie.



James Cameron usimzungumzie kabisa muweke pembeni maana akitoa hizo Avatar 2 na 3 dunia itasimama.Mkuu usiumie sana, cha kushangaza bado marvel ndiyo wana fanbase kubwa kuzidi hata hao dc.
Mfano endgame kwa sasa imeshika nafasi ya kwanza duniani katika list ya highest grossing movies yaani inakimbizana na movies za james cameron na hata kwenye top 10 asilimia kubwa ya movies zilizopo ni za marvel, lakini dc siwaoni kabisa aisee.
Hahahaha, ila hizi za marvel ni utoto Fulani Hv, hivi hawana games zao nimnunulie Dogo
Ni nzuri ila kwangu zimekaa kitoto



Zipo game zao mbona.