JamiiForums Usiku wa manane
Tunawapa Hi
 

Attachments

  • IMG-20200731-WA0096.jpg
    IMG-20200731-WA0096.jpg
    61.9 KB · Views: 3
Na ndiyo maana asilimia kubwa ya movies za marvel ni sci-fi (science fiction) hivyo mambo mengi yanayoongelewa mule hayana uhalisia, ukilielewa hili wala hautaumiza kichwa sijui oh marvel waongo sijui nini.

After all mimi bado sijaelewa kwanini watu wanataka kila kitu kwenye movie kiwe cha kweli, nini maana ya movie.
Sio ukweli uhalisia uwepo kidogo zisiwe kama zile movie za kihindi unapaa paaa kama unamabawa
 
Mkuu usiumie sana, cha kushangaza bado marvel ndiyo wana fanbase kubwa kuzidi hata hao dc.

Mfano endgame kwa sasa imeshika nafasi ya kwanza duniani katika list ya highest grossing movies yaani inakimbizana na movies za james cameron na hata kwenye top 10 asilimia kubwa ya movies zilizopo ni za marvel, lakini dc siwaoni kabisa aisee.
James Cameron usimzungumzie kabisa muweke pembeni maana akitoa hizo Avatar 2 na 3 dunia itasimama.
 
Back
Top Bottom