Han Solo
JF-Expert Member
- Jan 2, 2020
- 462
- 1,079
For some reasons uwa nawapenda villains, thanos, joker, n.kMarvel ni upuuzi alafu hero wangu wa all time ni Captain.
For some reasons uwa nawapenda villains, thanos, joker, n.kMarvel ni upuuzi alafu hero wangu wa all time ni Captain.

Joker ni Dc mzee wangu, lakini kwa Thanos aah pale wametengeneza kitu.For some reasons uwa nawapenda villains, thanos, joker, n.k
Hahahaha...Mh mjumbe ,si unajua mbagala nako mjiniMjumbe kwenye ule msafara wa leo kumbe wewe umebaki mbagala
![]()
Najua, nilikuwa nasema wether ni dc au mcu, au anywhere, villains uwa wananifurahisha kuliko heroesJoker ni Dc mzee wangu, lakini kwa Thanos aah pale wametengeneza kitu.
Mm huwa napenda sana wakipataga kichapo hawa hero unakuta kama End game, Infinite war hawa mbuzi walijuta alafu mpuuzi sana Thanos anawaambia huwa anaenjoy kuwapa kipigo.Najua, nilikuwa nasema wether ni dc au mcu, au anywhere, villains uwa wananifurahisha kuliko heroes



ni miyeyusho sana unaweza pata mfadhaiko wa moyo 
acha nilale nimefurahi sana 


ila siku watu wakiacha utoto humu nazani na umasikini utaisha kabisa.Movie zenye ni utoto utoto story za kufikirika sana na ni impossible kutokea hizo mambo.Naona walinzi mnahadithiana movie safi sana
Shida nini?
Acha watu wahumu mzee wangu ukisoma comments zao kila mtu ni tajiri 



Hizo movie anaangaliaga mwanangu ,kaniforce mpk nimemnunulia baadhi ya nguo za hao character mnawatajaMovie zenye ni utoto utoto story za kufikirika sana na ni impossible kutokea hizo mambo.
Unaona sasaHizo movie anaangaliaga mwanangu ,kaniforce mpk nimemnunulia baadhi ya nguo za hao character mnawataja
alafu ataanza kuigiza na michezo ya kwenye movies itakuwa ni hatari sana.Wewe maskini unahangaika na sisi kwani unahitaji mirathi 😂![]()
![]()
![]()
Acha watu wahumu mzee wangu ukisoma comments zao kila mtu ni tajiri
![]()
Ni series hii?
Mskini na fala ni mimi tu jf hii![]()
wasije wakakupa stress hawa watu alafu picha nyingi za humu ni za kudownload usipagawe 





Wewe maskini unahangaika na sisi kwani unahitaji mirathi![]()
Nacheka kifala sana hapa mtu akipita nje huko atajua nimeshadata Wallah.Huyu na kale ka joffrey walinikera sana nilikuwa natamani wafe, na walikufa vifo vya kusisimua kwenye historia ya televisheni












![]()
![]()
![]()
![]()
Nacheka kifala sana hapa mtu akipita nje huko atajua nimeshadata Wallah.