Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,393
- 59,137
Mimi si utaniletea home eehItakuwepo pale Business![]()
Si wajua kutembea kwangu adhabu🙄
Mimi si utaniletea home eehItakuwepo pale Business![]()
Na wewe unakesha mchumba?Ok babe
Hiyo kitu imetoka moyoniYani Mimi ndiyo kabisaaa...hata sijui nimewezaje kuandika vilee
Mkuu na ndoo za maji zipo pia ujue,
Jinsi keki inavyokua ndogo na ndoo ndo inavyokua kubwa



Kuoga tena hapana aisee.😂😂😂😂Umeandika vizuri Sana hadi Mimi ambaye bday hainihusu nimesisimka![]()
Kwishney. Fanya mpango unipotezeUpo season ya ngapi mpaka sasa?

.Na wewe unakesha mchumba?
Hilo lipo wazi .. dogo punguza kuwa staki nataka japo hata miaka yako ulinidanganya. Mzuzu wote ule eti unatimiza miaka 19![]()




Kaka tu chati.Wacha weeehhh...Hiyo kitu imetoka moyoni
Fanya fanya bhasi maana huez jua tunakuja na zawadi ganiMnataka mje mtie hasara tu nyie sio watu wazuri![]()
Umeandika vizuri Sana hadi Mimi ambaye bday hainihusu nimesisimka![]()
Keki ipo subirieni tuNasubiri keki ujue

Ulishaanza viswahili vyako engineer wangu.Siyo "Akhsante" sahihi ni "Ahsante" hasa ukiishia kwa "sukuun" huwa bora zaidi kwa mtu usie jua mshuko wa mwisho wa neno.
Sanawish ya kibabe yaani makopa yote yameonekana
Nimekuchana leo humu humu yaani maana itikadi zako sioKaka tu chati.

Usijali itakufikiaMimi si utaniletea home eeh
Si wajua kutembea kwangu adhabu![]()
