Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Usijihangaishe, naijua tarehe vema.... vipo vya kusahau sio hili.



Unaijulia wapi?
Usijihangaishe, naijua tarehe vema.... vipo vya kusahau sio hili.



Wapi huko ?Sawa engineer
Ninyanyase tu..
Naamini nimepata pa kukunyanyasia![]()
Umeona uanze kutusolvia sasa au sio0.000001457091
Kukuita kwa cheo chakoWapi huko ?
Naongea kwa namba, niliye mquote ameelewa.Umeona uanze kutusolvia sasa au sio
Maji ni mazuri kunawa kwa sasaSasa fanya masihala kwenye location ya keki, uone tukifanikiwa kukupata utaoga kwa kiasi gani


inabidi tutumie kistaarabu maji unajua.kwa kweli maana mtoto wa kike ni wa kike tu. Ingekuwa kwa rank yangu isingeingia kumi bora








Una feli kila siku nakwambia.Kukuita kwa cheo chako
Nafeli Nini?Una feli kila siku nakwambia.
Dogo huko United Kingdom tutafika tu



Nimehama teyari nipo kwenye maandamano huku Minneapolis napambana na mabomu ya machozi tu.Sawa mkuuSwali gani hili, Isn’t it obvious..?![]()



Hivi maandamano huwa yana faida gani ?Nimehama teyari nipo kwenye maandamano huku Minneapolis napambana na mabomu ya machozi tu.
Wewe si umenisusa
Najisikia Raha ujueUna feli kila siku nakwambia.