JamiiForums Usiku wa manane
Natoka nje kwenda dukani ikinibidi

Kuogopa lazima kila nikitembea nje huko barabarani nakua sina amani

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana. Ila punguza woga maana ni ugonjwa mbaya kuliko hata COVID-19 yenyewe. Mathalani ninaishi maisha yangu ya kawaida kabisa pia sihangaiki na vyombo vya habari.
 
Pole sana. Ila punguza woga maana ni ugonjwa mbaya kuliko hata COVID-19 yenyewe. Mathalani ninaishi maisha yangu ya kawaida kabisa pia sihangaiki na vyombo vya habari.
Asante vipi kuhusu social media unafanyaje ?
Naelewa hofu ni mbaya kila siku nilikuwa naangalia video youtube za wagonjwa na kucheki new cases , it's has been four days sasa sijaangalia .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante vipi kuhusu social media unafanyaje ?
Naelewa hofu ni mbaya kila siku nilikuwa naangalia video youtube za wagonjwa na kucheki new cases it's has been four days sijaangalia .


Sent using Jamii Forums mobile app
Bahati mbaya mimi si mtu wa social media ukiondoa WhatsApp na JF hunipati kwingine. Pia nakuwa busy na majukumu kiasi kwamba sometimes nasahau hata JF kwa siku 2 au 3. Hivyo nimejipanga vyema kuhakikisha taarifa inayonifikia hainishtui.
 
Bahati mbaya mimi si mtu wa social media ukiondoa WhatsApp na JF hunipati kwingine. Pia nakuwa busy na majukumu kiasi kwamba sometimes nasahau hata JF kwa siku 2 au 3. Hivyo nimejipanga vyema kuhakikisha taarifa inayonifikia hainishtui.
Ooh hongera mimi simu ndio rafiki yangu nipo Twitter ambapo naona iko very toxic , Instagram pia nipo .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom