Tansy
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 3,946
- 8,953
Hapana ni sawa kuwa hivyo , na haupo old fashioned kisa hicho .
Kama mimi sina kazi kutwa nipo online na ni mbaya .
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mimi sina kazi kutwa nipo online na ni mbaya .
Hizo Twitter sijui Instagram nazisikia tu. I'm very old fashioned guy [emoji3][emoji3]. Najiona mambo yamekuwa mengi kuliko muda so I have to contribute myself.
Sent using Jamii Forums mobile app