My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,603
- 11,883
Ndio Tupo
Eeh nilitaka ujue kua na mm ni moto wa kuotea mbalihukutaka kuchelewesha kabisa ukaamua uniite kabisa kwamba nitachelewa kuja dah we kiboko
![]()
Ahsante..Nina msululu Sasa sijui nikushirikishe lipi🤔
Haya bhana usije fika saa 7 ukanza kunipa lawa mm utakuwa umenionea tu sina kosa mmEwaaaah...hicho ndicho ulichokisahau Sasa.


Tunafata ushauri wa mkuu JiweHuwa mkisema hivi lazima nicheke sasa.
😂😂 Mimi nawewe hatulaumianiHaya bhana usije fika saa 7 ukanza kunipa lawa mm utakuwa umenionea tu sina kosa mm![]()
Kuna kazi nitakupa hiyo ndio itakufaa sanaEeh nilitaka ujue kua na mm ni moto wa kuotea mbali

Ambalo unalipa kipaumbele linakupa ugumu wa kulishindaAhsante..Nina msululu Sasa sijui nikushirikishe lipi![]()
Uniombee covid19 isinipate.
Nimeoteshwa kuna Wana lindo watakuja kufunga ndoa baada ya lindo kuisha, Naendelea na maombi bado
Naenda kwa session
Ndoto zako ni za kweli ?Nimeoteshwa kuna Wana lindo watakuja kufunga ndoa baada ya lindo kuisha, Naendelea na maombi bado
Asante sana na mm nilitaka nishangae unawezaje nitupia lawa tenaMimi nawewe hatulaumiani

Uniombee covid19 isinipate.
Very well, you?
Umeadimika...
Iwahishe babu leo nina jezi ya yanga imetimia 5/5Kuna kazi nitakupa hiyo ndio itakufaa sana![]()
