JamiiForums Usiku wa manane
Yeah ni kweli.Ditko, kirby na Stan...
Ila mkuu vitu vingine ni ngumu sana kutunga. Mfano Iron man imetungwa/chapishwa 40s kipindi hicho teknolojia sio kubwa sana ya Comp.
Artificial intelligence bado ipo Primitive mno ila jamaa katunga kitu kama cha miaka hii (Japo ilikua updated kutokana na teknolojia)
Hua nawaza Stan alikua anatoa wapi mawazo

Sent using Jamii Forums mobile app
Braza mbona hata katuni ya The Thimpsons mwaka 1997 walisema Trump angekuwa Raisi na kweli mwaka 2016 akawa Raisi ?
🤣😂🤣😂😂😂😂😂
 
Italian and German music are sophisticated.
Kuna huyu mzee anaitwa Ennip Morricone ni composer wa hatari sana kutoka Italia.


Yeye ndiyo amecompose zile nyimbo za kwenye movie ya The Good, The Bad and The Ugly.
Aisee Hivi unamjua Ramin Djwadi.? Anakuzwa au ni uwezo binafsi maana wanamtumia sana waandaaji wa muvi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm siamini kama hawa watu hutumia akili zao kutunga hvi vitu. Time travelling inahusika labda..
Mwisho tutadiskas conspiracy theories. Ial the Simpson ina mkanganyiko sana
Braza mbona hata katuni ya The Thimpsons mwaka 1997 walisema Trump angekuwa Raisi na kweli mwaka 2016 akawa Raisi ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mm siamini kama hawa watu hutumia akili zao kutunga hvi vitu. Time travelling inahusika labda..
Mwisho tutadiskas conspiracy theories. Ial the Simpson ina mkanganyiko sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Don't underestimate the human brain.....
Newton aliwahi sema baadhi ya concepts kwenye physics kuhusu sumaku na mawimbi ya nje ya dunia (Outer Space) miaka hiyo lakini miaka kama minne sasa wamethibitisha ni kweli alichokisema zaidi ya miaka 100 iliyopita.
 
Mkuu mm siamini kama hawa watu hutumia akili zao kutunga hvi vitu. Time travelling inahusika labda..
Mwisho tutadiskas conspiracy theories. Ial the Simpson ina mkanganyiko sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna la kujifunza
Sijaenda deep kabisaaa kuhusu the so called Time traveling
Wanatumia nini kufanikisha Hilo ?? If it is truly Existing
 
Kuna wanaofanya mental time travelling..Au physical time travelling.
Ila wengi husema time travelling ni possible spiritually
Ushahidi ni Dejavu
Kuna la kujifunza
Sijaenda deep kabisaaa kuhusu the so called Time traveling
Wanatumia nini kufanikisha Hilo ?? If it is truly Existing

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom