MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,456
- 69,353
Jamaa yangu mmoja tulikuwa naye, yeye huku Tanzania alikuwa kwenye top 3 NECTA, akaenda Marekani kusoma Engineering. Hakuwahi kushika nafasi za juu darasani kwao hata siku moja. Alianiambia kuna watu amekutana nao wana akili sanaa hata yeye anaogopa. Sasa anakwambia karibia nusu ya darasa walibaki Marekani akiwemo huyo jamaa yangu. Acha kabisa mzeeeImpressive![]()



