JamiiForums Usiku wa manane
Yes kibobo...Buza sijawahi fika

Mbagala inategemea ni Mbagala ipi...Mbagala kurasini kule kumepangika (yan igawanje ile Zakhem pale huu upande wa Dar live kwa chini kidogo pamepangika acha kabisa.
Ukija ule upande wa Hosp pako hovyo hovyo tu

Mmmhh depal kurasini isn't belong to mbagara at least useme kijichi tena hii ipo mtoni but iko karibu mbagara,Kijichi is good place imepakana na bahari
.
Ooohky kibo
 
Mmmhh depal kurasini isn't belong to mbagara at least useme kijichi tena hii ipo mtoni but iko karibu mbagara,Kijichi is good place imepakana na bahari
.
Ooohky kibo
Usirudie kusema hivi na hii serikali yako inayopangua maeneo kila kukicha.

Wacha Kurasini ya shimo la udongo ipo mbagala Kurasini mji mpya (usinisumbua google)
 
Back
Top Bottom