My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,603
- 11,883
Mwendokasi unaishia Magomeni. Emu kuwa muelewa
Acha utata bwanaHamuelewi nyie kama mmekula kande![]()


Ulisema BRT inaishia magomeni
.
Kwanza hembu kajifukizeee

Mwendokasi unaishia Magomeni. Emu kuwa muelewa
Acha utata bwanaHamuelewi nyie kama mmekula kande![]()



Yes kibobo...Buza sijawahi fikaBuza imekuzwa kutokana na umuhimu wake, short cut na Uchumi wake mzuri huwez fananisha buza na upuuzi kama tandale, mbagara
Unapataja tuu umefikaaa ??
Rabinsia ipo kibo nadhan
Basi nilikuwa nasinzia... ila point ya correction ipo huko nilimqoute super VAcha utata bwana
Ulisema BRT inaishia magomeni
.
Kwanza hembu kajifukizeee![]()
Acha kabisaKufumbua tu macho unajikuta huwezi watu wanasinzia kanisani na zile kelele za maspika mchezo.
Vipi na ww umekula kande au?Basi nilikuwa nasinzia... ila point ya correction ipo huko nilimqoute super V
Kufumbua tu macho unajikuta huwezi watu wanasinzia kanisani na zile kelele za maspika mchezo.




Niko gud na mshukuru Mungu.Acha kabisa
Vipi lakini hali yako....
Vp buddy?Hodiiiiiiiiiiiii umu ndani
Unakimbia ww leo saa 1 hiiWaah!
Nizime mziki nilale....
Afu usingizi wa kanisani unakuwaga mtamu...shetani huyuKufumbua tu macho unajikuta huwezi watu wanasinzia kanisani na zile kelele za maspika mchezo.
Nakumbuk shule b kuna Jamaa alikua akilala hafumbi macho yanakua wazi Aisee daah



Analala kama sungura huyo mwalimu anajua ajalala kumbe mtu wa juzi.Mungu ni mwemaNiko gud na mshukuru Mungu.
Nilijiambia nitalala saa 6 kamili ona sasa sahii saa 7Unakimbia ww leo saa 1 hii
Hamlali?
nazi kuna kitu kimekuamsha ww ulilala?Ila ukiwa club muda kama huu hulali ndio kumekuchaAfu usingizi wa kanisani unakuwaga mtamu...shetani huyu
