JamiiForums Usiku wa manane
Sasa hupajui Tabata we Dar unapajua wapi? Yule mtandale nilienda mpaka kwako. Mama ake akapika ugali samaki

Sio mbali wacha wenge. Mbagala-Taifa-Keko-Magomeni-Kanisani ushafika. Sema huo mkoa wenu umezidi foleni....

Tabata Barakuda, Tabata Segerea napajua tabata shule sipajui hata kwa macho, ndio kuna ile baa ya toroka uje ?

Siku upitilize njia uje kwa m'tegeta tumuache m'tandale na visingeli vyak
 
Sikiliza Magomeni ipo kati ujue ukitokea Kinondoni kwenda Gerezani , Kimara na kivukoni na Magomeni kubwa sawa kanisani nikama unaenda Kinondoni mkwaju kutokea Magomeni kanisani na mwanamboka mpaka morroco huko.
Yan hata sijui unatype kitu gani. My point was " njia rahisi ya kwenda kwa Tumbo ni ufike pale kanisani then kuna njia yao wenyewe huko wakazi wa kwa Tumbo na vidaladala vyao.
Hayo Morocco/ kkoo sijui yametoka wapi
 
Tabata Barakuda, Tabata Segerea napajua tabata shule sipajui hata kwa macho, ndio kuna ile baa ya toroka uje ?

Siku upitilize njia uje kwa m'tegeta tumuache m'tandale na visingeli vyak
Huko shule me nilienda once. Ni kubaya Buza pazuri
Tegeta nyuki au Kibaoni ama kwa Ndevu? Haha napatikana kuleee near to Rabininsia Hosp
 
Huko shule me nilienda once. Ni kubaya Buza pazuri
Tegeta nyuki au Kibaoni ama kwa Ndevu? Haha napatikana kuleee near to Rabininsia Hosp
Buza imekuzwa kutokana na umuhimu wake, short cut na Uchumi wake mzuri huwez fananisha buza na upuuzi kama tandale, mbagara
Unapataja tuu umefikaaa ??
Rabinsia ipo kibo nadhan
 
Back
Top Bottom