JamiiForums Usiku wa manane
unatembeaga na nikabu nini
Kituo cha mwendokasi magomeni kanisani kipo kwenye kona na mteremko unapanda unaelekea kinondoni mkwajuni
Ulienda kufanya nini Kwa tumbo
Huko kwa Tumbo huko we acha tu, mapenzi ya Facebook 😂😂😂 na Tabata shule nako hovyo kule
Ila pic hapo kama Magomeni Usalama ikitokea Ubungo,kama Kanisani ukitokea Mbagala Usitusumbue
 
Back
Top Bottom