Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,524
- 203,265
Manzese kama Manzese sijawahi fika. Kariakoo kwenyewe ukinizungusha kidogo unaniachamo huko.😂😂😂😂
Hujawahi hata ingia kwa soko kusaka vitambaa na vijora
Baba akianza sasa "mnafanya nini mjini kama jiji hamlijui hapo kuna siku nilimuuliza Kigogo iko wapi 😀😀😀
Nikaona isiwe kesi ngoja nitafute mkoa nizamie.




