JamiiForums Usiku wa manane
tandale kwa tumbo hamna mwendokas ujue ..Yeah Kuna road pale unachoma kulia unatokea tandale then Sinza..Hapafai kuishi kabisa Uswahili swahili nauogopa vibayaa
Wewe mwendokasi upo wa Magomeni. Na kituo ni Kanisani then unapanda vidaladala vya kwa Tumbo sasa. Kule nilifikaga mwaka fulani mhh siwezi kuishi akii
 
Wewe mwendokasi upo wa Magomeni. Na kituo ni Kanisani then unapanda vidaladala vya kwa Tumbo sasa. Kule nilifikaga mwaka fulani mhh siwezi kuishi akii
unatembeaga na nikabu nini
Kituo cha mwendokasi magomeni kanisani kipo kwenye kona na mteremko unapanda unaelekea kinondoni mkwajuni
Ulienda kufanya nini Kwa tumbo
 
A-Dog-Named-Bob-Malicious-Compliance.jpg

nyie askari wa zamu hamjambo??
 
Back
Top Bottom