Haha ni afadhaliChato papo on fire kuna hata taa za barabarani kwa ajili ya punda 😂
Amka ukinge majiMkuwe na lindo jema wapendwa..kamvua haka jamani😊
Penyewe bana...Magomeni Kanisani sijui ndio kuna njia uko unazama kwa Tumbo ila kule asee heri nikaishi Chato
tandale kwa tumbo hamna mwendokas ujue ..Yeah Kuna road pale unachoma kulia unatokea tandale then Sinza..Hapafai kuishi kabisa Uswahili swahili nauogopa vibayaa 

Mbona hii mvua ni ndogo sana.Mkuwe na lindo jema wapendwa..kamvua haka jamani![]()
Sio Magomeni hapo nasemaUnataka ubishane na mm niliyepiga hiyo picha?
Hebu kuja hapa Next Man
Mm nasema hapo usalama mzee wangutandale kwa tumbo hamna mwendokas ujue ..Yeah Kuna road pale unachoma kulia unatokea tandale then Sinza..Hapafai kuishi kabisa Uswahili swahili nauogopa vibayaa
![]()

Inamapozi sana
Naona rangi za Ubungo Makumbusho
DahSitoagi ahadi kwa umma.. ila ikitokea siku ukajiuliza uliza.. consult me, ukinikosa humu bhasi tafuta namba ya katibu muenezi Super Villain




Hahaha huyo ndo katibu !!!Sitoagi ahadi kwa umma.. ila ikitokea siku ukajiuliza uliza.. consult me, ukinikosa humu bhasi tafuta namba ya katibu muenezi Super Villain
Si ndiyo maana nikasema ka mvua.Mbona hii mvua ni ndogo sana.
Hapa ni Manzese Wazee




Hali ya hewa tu inatosha kulala kwa amani siku ya leoInamapozi sana
Sijui huko mliko ila huku bado inanyeshaInamapozi sana