Dropout
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 641
- 533
Aiseh ningekusaidia kujigeuza geuza kama ungekuwa Ke.. kukosa usingiz kutapunguza urembo wako ...Hapana najaribu kuwa productive, kama usingizi sina basi angalau najua nikisoma soma nagain kitu na nikichoka kusoma najua pia siwezi kulala so hata nikifua nitakua nimefanya jambo la maana kuliko kuingia bed alafu najigeuza geuza mpaka saa moja bila kulala.
Sent using Jamii Forums mobile app
