JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Dah hiyo coz naipenda sana lakini sijawahi somea Ila nilishafanyaga makubwa kidogo kupitia hiyo kitu wayback kidogo watu waliniona genius kumbe fala tu [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo creativity tu mzee mambo ya kusomea sio sana japo kuna vichwa vyenye elimu karee kuliko tutorial za youtube. Hapo ndo mtihani huja
 
Hahaaaaa sihangaikii pesa hommie.. majukumu tu plus nilijipanga kukesha ila tanesco wamefanya yao na kasimu charge haisomi
[emoji23][emoji23][emoji23] shirika ambalo linatukanagwa sana na wananchi ni hilo Tz hapa what if ungekuwa unafanya kazi huko ungekuwa unajisikiaje? [emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo creativity tu mzee mambo ya kusomea sio sana japo kuna vichwa vyenye elimu karee kuliko tutorial za youtube. Hapo ndo mtihani huja
[emoji23][emoji23][emoji23] YouTube huwa wanasaidia sana lakini sio channel zote ni useful nyingine wanataka viewers tu wapate hela basi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] shirika ambalo linatukanagwa sana na wananchi ni hilo Tz hapa what if ungekuwa unafanya kazi huko ungekuwa unajisikiaje? [emoji23]
Naona unatoa codes zako [emoji23][emoji23]
Wazee wa kufanya kazi night karee..
Kiukweli unaishia kutukana tu na kama hakuna alternative unalala kiroho safi
 
Naona unatoa codes zako [emoji23][emoji23]
Wazee wa kufanya kazi night karee..
Kiukweli unaishia kutukana tu na kama hakuna alternative unalala kiroho safi
[emoji38][emoji38][emoji38] wacha watu wafanye kazi zao ww men at work saiz unakuta muhimu anaangaika na former huko
 
Sanaaa si kama wabongo tu na title zao "huwezi kuamini, mr villa adakwa tandika akitoroka ugoni guest house" [emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji38][emoji38] pumbafu lazima uache view hapo kwahiyo title ukiwa mpenda umbea na wanazipiga sana tu.
 
[emoji38][emoji38][emoji38] pumbafu lazima uache view hapo kwahiyo title ukiwa mpenda umbea na wanazipiga sana tu.
[emoji23][emoji23] kama jombaa mmoja akaFAKE kuwa mtz aliyeshinda Americas got talent na akavuna views zaidi ya million ..wabongo [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom