JamiiForums Usiku wa manane
Mkuu, unawaweza kushiriki kumbukumbu hiyo. Samahani lakini.
Ni mchezaji wa kikapu anaitwa Stephen Curry aliumia mwaka jana alivunjika mkono toka ameumia team imekuwa mbovu sana anarudi match ndio atakuwa amepona kabisa.
images.jpeg
 
Account yangu ya IG imejaa sana picha za kikapu kuna mwana alikuja dm nilimuelekeza kila kitu akaanza kujifunza kucheza na yy lakini yy aliniambia anaishi mbeya.
Mi mpira wa miguu nilikuwa napenda kipindi fulani, kama goalkeeper, shida ya macho sijui ilitokea wapi, nikawa sioni vyema. Nikawa nikisimama golini mipira inapita tu.😀😀😀. Nikaamua kustaafu kukwepa fedheha zaidi.
 
Mi mpira wa miguu nilikuwa napenda kipindi fulani, kama goalkeeper, shida ya macho sijui ilitokea wapi, nikawa sioni vyema. Nikawa nikisimama golini mipira inapita tu.. Nikaamua kustaafu kukwepa fedheha zaidi.
Aisee pole sana ndio kipaji kimekufa hivyo kuwa shabiki tu ukimiss kucheza tafuta PlayStation zilipotu ujifurahishe mzee wangu.
 
Back
Top Bottom