Super Villain
JF-Expert Member
- Jan 2, 2019
- 9,395
- 21,057
Hii statement ulioandika ni moja ya principal ya maisha yangu respect everyone ni kitu muhimu sana hujui kesho yako ipoje adabu ni kitu chamshingi sana.Kesho hatakuwa Mr perfect tena ni Mr nothing au new beggar in town ngoja kesho aanze maisha tena
Tuishi na watu vizur aisee huwezi jua au huwezi kutegemea yupi atakuwa msaada kwako kwenye tatizo embu ona hao waizi wamekuwa msaada kwangu sikutegemea watanifundishia mtu adabu
Sent using Jamii Forums mobile app


