JamiiForums Usiku wa manane
00:17

Nimechungulia dirishani nimeona wavu wameuchana kwelikweli hata kwa mbali unaweza ona kwa mbali ndani huyu watakuwa wamemsafishia room ila wale guardian angel .au..noble soul wawili siwaoni tena ngoja tuone kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio poa mkuu. Msamehe jamaa na umsaidie pengine ataanza kukuheshimu
 
00:17

Nimechungulia dirishani nimeona wavu wameuchana kwelikweli hata kwa mbali unaweza ona kwa mbali ndani huyu watakuwa wamemsafishia room ila wale guardian angel .au..noble soul wawili siwaoni tena ngoja tuone kesho

Sent using Jamii Forums mobile app
hayo majina ulio waita sasa dah nimecheka sana usiku wote huu.

Wahuni sio watu wazuri.
 
hayo majina ulio waita sasa dah nimecheka sana usiku wote huu.

Wahuni sio watu wazuri.
Cha msingi tujue tu kuna watu huwa wanaamka asubuhi na majozi au matatizo nadhani kesho Mr perfect atakuwa miongoni mwao

Wengine wanaamka kwa furaha nadhani wale jamaa wataamka na furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cha msingi tujue tu kuna watu huwa wanaamka asubuhi na majozi au matatizo nadhani kesho Mr perfect atakuwa miongoni mwao

Wengine wanaamka kwa furaha nadhani wale jamaa wataamka na furaha

Sent using Jamii Forums mobile app
mwamba we kavu sana ujue! we sio wa kumfanyia jirani yako Mr P hv unamfanya mwenzio anze maisha na upya kesho.
 
Back
Top Bottom