Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,586
Amani na iwe kwenu waungwana
Iwe rohoni kwako pia
Amani na iwe kwenu waungwana
Kuzimiwa inaumizakusajili kila mtu atasajili tu swala ni muda tu.

Sio poa mkuu. Msamehe jamaa na umsaidie pengine ataanza kukuheshimu00:17
Nimechungulia dirishani nimeona wavu wameuchana kwelikweli hata kwa mbali unaweza ona kwa mbali ndani huyu watakuwa wamemsafishia room ila wale guardian angel .au..noble soul wawili siwaoni tena ngoja tuone kesho
Sent using Jamii Forums mobile app

chiqutitta yeye kaona post yangu kaishia ku-like tu, PM kimya.Chagua kati ya Chikutita na Tshala mwana
00:17
Nimechungulia dirishani nimeona wavu wameuchana kwelikweli hata kwa mbali unaweza ona kwa mbali ndani huyu watakuwa wamemsafishia room ila wale guardian angel .au..noble soul wawili siwaoni tena ngoja tuone kesho
Sent using Jamii Forums mobile app













hayo majina ulio waita sasa dah nimecheka sana usiku wote huu.kwahiyo leo ndio payback yake anapata kwa aliyokufanyia.
Ahsante kama ni kweliNaanzaje kutokukupenda?
Af wanapita dirisha kwa dirisha. Zamu yake inakujahuwa unanichekesha mtaa wenu kila siku wezi!!!


Nawe rohoni mwako.Amani na iwe kwenu waungwana
Ahsante kama ni kweli
Ila TCRA wamejambisha watu sana


kinoma sana na ss siwaoga tumejaa kwenye 18 zao.Tatizo watu mnashindwa kukubaliana na Udhaifu/matatizo mliyonayo.Ila TCRA wamejambisha watu sana
sasa ww siunajifanya mtukutu au ndio wale aliosema Paul makonda wapiga umbeaKuzimiwa inaumiza![]()




AmeenNawe rohoni mwako.
Huyo Tshala ndio kwanza leo kaingia humu. Mvumilie..
Cha msingi tujue tu kuna watu huwa wanaamka asubuhi na majozi au matatizo nadhani kesho Mr perfect atakuwa miongoni mwaohayo majina ulio waita sasa dah nimecheka sana usiku wote huu.
Wahuni sio watu wazuri.
Ila watazima hawajasamehekinoma sana na ss siwaoga tumejaa kwenye 18 zao.
Cha msingi tujue tu kuna watu huwa wanaamka asubuhi na majozi au matatizo nadhani kesho Mr perfect atakuwa miongoni mwao
Wengine wanaamka kwa furaha nadhani wale jamaa wataamka na furaha
Sent using Jamii Forums mobile app


mwamba we kavu sana ujue! we sio wa kumfanyia jirani yako Mr P hv unamfanya mwenzio anze maisha na upya kesho.Itabidi tutulie tu hakuna namna.Ila watazima hawajasamehe