Ahsante kama ni kweli
Mkuu nawewe ni muhanga?Itabidi tutulie tu hakuna namna.
Aah mapema yote hii chill mpaka saa 0100 hapo.Nawatakia mkesha mwema
Hapana mm nafuata sheria na tamko sitaki kujipa tabu mm.Mkuu nawewe ni muhanga?
Poa poa mkuuAah mapema yote hii chill mpaka saa 0100 hapo.
Mwamba nyota huna ya chips mayai ndio maana pm hawajiRowin nae ana roho mbaya anahisi akija PM nitafaidi, anamwaga like tu mwanzo mwisho.
Anasambaza upendo.
Hongera kwake.

Kila mtu anamadeni ndio hivyo tumezidiana tu.Poa poa mkuu
Aaah vizuri mkuuHapana mm nafuata sheria na tamko sitaki kujipa tabu mm.
Don Clericuzio member wa kudumu wa huu uzi.
Mahudhurio yake ya mazuri sana.
mwamba we kavu sana ujue! we sio wa kumfanyia jirani yako Mr P hv unamfanya mwenzio anze maisha na upya kesho.
Rowin nae ana roho mbaya anahisi akija PM nitafaidi, anamwaga like tu mwanzo mwisho.
Anasambaza upendo.
Hongera kwake.



poleeeeKuna kauli huwa sipendi kuisikia ile inasema tii Sheri bila shurutiAaah vizuri mkuu

Itabidi nikaoge maji ya baharini nile na kitimoto 1kg kusafisha nyota ya kukosa PM.Mwamba nyota huna ya chips mayai ndio maana pm hawaji![]()
Usiniambie kuwa ww ni shabiki wa LA?Asante bro.
Huu uzi unanipa kampani sana, hasa nikiwa nacheki game za NBA
Msimbazi 5 ni aina ya msosi? Nije nakimbiaItabidi nikaoge maji ya baharini nile na kitimoto 1kg kusafisha nyota ya kukosa PM.
Kisha naanza kumwaga miamala kwa kila PM mdada anakula msimbazi 5 kwa mujibu wa mganga toka Congo.
huwa unanichekesha mtaa wenu kila siku wezi!!!
Hapana mkuu,nilipata kitambulisho July 2015,usajili line siku ya 2 baada ya tangazoKuna kauli huwa sipendi kuisikia ile inasema tii Sheri bila shuruti
Kwani na ww ni muhanga?