Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 25,209
- 40,651
Naona kama wa hapa kijijini kwangu tuAnatuuzia gazeti fake![]()
Naona kama wa hapa kijijini kwangu tuAnatuuzia gazeti fake![]()
hapo yanamuenda fasta kasema namuonea huruma jaman
Umewahi kubet wewe? 😀 😀tusamehe kaka mkubwa hizi law utatuua
Umelima mpunga au mahindi?
YOUNGBLOOD Ngoja Goddess aweke picha ameenda kupiga kwenye banda lao
Angalau umeanza kunyosha maelezoUrefu?! Sio mwili naongelea urefu mm hata bta mzinga hana mwil iwa mbuzi
Huwezi kosa ya kuzalisha nyingine
Ni nani wewe? 😎Hata wewe nahisi nakufahamu kwa ID ya F....
Ngoja aendelee kujieleza maana nikama anataka kuchange gia anganjKama kuku mwenyewe ndiye huyo,hapo ametupiga kamba.
Kilo ngapi huyu? Zikizidi sana 5
huyo ndo kuku anaezwa ghali kuliko kuku wote


5 hawezi fika huyo.Kilo ngapi huyu? Zikizidi sana 5
Nitakuagizia za kutosha zipo genuine kabisaNaomba kama unazo
nakuangaaalia halagu nakuonea huruma
kama bata ti anagika kilo tisa mpaka 12 na anauzwa 150k unahisi kuku hakuna?!
Uliza mti anaejua au kifuga kuku kuchi atakuhadithia
Mmejiskia kubisha tu mm nmemaliza mbuzi anaurefu gani kwani?! Wa ng'ombe au?!Anatuuzia gazeti fake![]()
Kumbe...ndio G au RInna yupo ila amechange ID
Kwann sasa umecheka?Teh teh...nimecheka....sijui kwanini?
Nimelima Maharagwe
Kilo za bata hizoHapa ulitaja kilo.
Nikija huko dasalama nitaenda hapo makumbushohuyo ndo kuku anaezwa ghali kuliko kuku wote
Ss fikiria bata ghali 150
Huyu kuku atakua bei gani kama sio sawa?!
Pale kijiji cha makumbusho nje kuna rasta anauza kila aina ya ndege soge kaulize bei kama atakua nao ukikuta kichi ni elfu30 naomba nitafute nakuonheza wengine wa2 ukafuge kabisa![]()
Sana tu.Umewahi kubet wewe? 😀 😀
Ni nani wewe?![]()