Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 19,504
- 57,049
Ameshalala tayari.
Labda35 hawezi fika huyo.
Acha uwongo acha uwongo jamani.huyo ndo kuku anaezwa ghali kuliko kuku wote
Ss fikiria bata ghali 150
Huyu kuku atakua bei gani kama sio sawa?!
Pale kijiji cha makumbusho nje kuna rasta anauza kila aina ya ndege soge kaulize bei kama atakua nao ukikuta kichi ni elfu30 naomba nitafute nakuonheza wengine wa2 ukafuge kabisa![]()
😀😀 haina kwereNdio mimi huyu huyu.
Acha apumzike pirikapirika za kid si mchezoHuyu binti tangia apate mtoto amekuwa anawahi kulala,
Ila ni vyema
Usijalibu tena mzee sio chai hiyo.
3 hafiki.Labda3
SawaNikija huko dasalama nitaenda hapo makumbusho
Kwann sasa umecheka?
Kama hutaki sikushikii fimbo mm halagu sijakuomba uamini kama haujawahi kuona bata wa laki na nusu naomba uende niliposema uende utamkutaAcha uwongo acha uwongo jamani.


nahisi ukikuta kuku uliezoea kumla mzima elfu8 


Nitakuagizia za kutosha zipo genuine kabisa
Huyu binti tangia apate mtoto amekuwa anawahi kulala,
Ila ni vyema
Mpunga unatesa sana najua wanavyolima hatahiyo mama yangu amefanya hito biashara zaidi ya miaka 10 kwahiyo najua tabu yake.Napendaga kuita mpunga-mchele
Mahindi-sembe.
Nalima Mchele na Sembe....niache na akili zangu tu
Siku ya kwanza kubet siulikua unajiona utashinda kuliko kawaida?Sana tu.
We utasema tu utazipataje zikufikie zikiwa freshNitashukuru sana
ni kweli ila hawa wadada wa doticom kulea wanalea basi, kama sio bibi mtu basi dada wa kazi ndio anahenyekaAcha apumzike pirikapirika za kid si mchezo
Mpunga unatesa sana najua wanavyolima hatahiyo mama yangu amefanya hito biashara zaidi ya miaka 10 kwahiyo najua tabu yake.