JamiiForums Usiku wa manane
huyo ndo kuku anaezwa ghali kuliko kuku wote

Ss fikiria bata ghali 150
Huyu kuku atakua bei gani kama sio sawa?!

Pale kijiji cha makumbusho nje kuna rasta anauza kila aina ya ndege soge kaulize bei kama atakua nao ukikuta kichi ni elfu30 naomba nitafute nakuonheza wengine wa2 ukafuge kabisa
Acha uwongo acha uwongo jamani.
 
Chikwuemeka , Super Villain
YOUNGBLOOD

Nyingine hio na bei mkapewa
Screenshot_20191224-014406.jpg
 
Back
Top Bottom