JamiiForums Usiku wa manane
Kama hutaki sikushikii fimbo mm halagu sijakuomba uamini kama haujawahi kuona bata wa laki na nusu naomba uende niliposema uende utamkuta nahisi ukikuta kuku uliezoea kumla mzima elfu8

Akauzwa 50k ndo utakojoa dagaa
Kuchi sio kuku wa bei ghali ndio napokataa hao kuku asiliyake ni singida sasa tatizo dar wanawatoa mbali ndio maana wanauza bei ghali natamani nikupeleke tu hapo dakawa moro ukaone kuku bei rahisi na wanakilo kuzidi hata wahuku dar.
 
Kuchi sio kuku wa bei ghali ndio napokataa hao kuku asiliyake ni singida sasa tatizo dar wanawatoa mbali ndio maana wanauza bei ghali natamani nikupeleke tu hapo dakawa moro ukaone kuku bei rahisi na wanakilo kuzidi hata wahuku dar.
Singida hakuna kuku wa hvyo singida kuna kuku mpaka elfu5 msimu wa mazao na wakiwa wenfi singida kuku wakiwa nadra soko kubwa mjini kuku anafika elfu 12 na hizidi elfu15 dodoma pia hvyo hvyo
 
Dar chakula nibei ghali tofauti na mikoa mingine I wish nikupeleke moro kama utakuwa tayari andaa 150k ambayo ww huku unapata kuku 3 Alafu mm nitakupeleka ukanunue kuku wa kilo 9 kwahiyo 50 each.
Hahah moro mbali hv naenda singida hio laki na nusu nakuja na kuku kama wote tena unabadilishana hata na nguo tu si lazima pesa

Dar chakula.naguu kidogo kuliko mikoani tusiwe wanafiki
 
Back
Top Bottom