Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,867
- 51,628
Lete habari vipi pande hizo kuna nyama?lete nyama tuchome njaa imekamata sana@Khantwe nafasi yake haichukuliki.
Lete habari vipi pande hizo kuna nyama?lete nyama tuchome njaa imekamata sana@Khantwe nafasi yake haichukuliki.
Yeye Kila anaemuona anamtongoza
Kwani ujausikia ushauri wa dada yako ! Tupeane likizo ndefu
Bro, huku uchagani kuelekea mlima KLM baridi ni kali sana.Kumbe humu inawezekana mm ndio niko bara giza kwa Anko magu pekee angu
View attachment 1264787
Nadhani, wewe ndio utuambie.
Ila alichomaanisha ni kwamba akiwa na mtu(kwa mfano wewe) ukigeuka tuu kuangalia mdada mwingine utakua umejinunulia kesi![]()
hana msambwandaKumsamehe mtu na kuwa nae karibu ni vitu viwili tofauti me nimemsahe lakini sitaki ukaribu nae kama zamaniWanawake hapo tu ndio huwa mnanichanganya
Unamsamehe mtu alafu hutaki muwe kama zamani![]()
Lete habari vipi pande hizo kuna lete nyama tuchome njaa imekamata sana
Nipo tu hapa lindoni dear, karibu tujumuikeSafi tu wkend wapi nikuunge mkono
Utajikuta unageuka mwili mzima kama robot.hana msambwanda
Kuhusu kugeuka ,ahsante kwa kunipa siri mkuu, nitaenda hospital nifunge zile kitu wanafungwa wagonjwa wa shingo ili nisiangalie mademu wengine
Bro, huku uchagani kuelekea mlima KLM baridi ni kali sana.
Msinyimane mmesisitiziwa mpeane pasipo kiasi kwahiyo acha shemeji ajimwambafaiKwani ujausikia ushauri wa dada yako ! Tupeane likizo ndefu
hana msambwanda
Kuhusu kugeuka ,ahsante kwa kunipa siri mkuu, nitaenda hospital nifunge zile kitu wanafungwa wagonjwa wa shingo ili nisiangalie mademu wengine
Simjui mtu huyo!
@Thad kumbe aliachana na nanii kweli dunia inaenda kasi
huyo huwa ni mke wangu, kuna kipindi mwaka jana mwishoni tuliachanaKahawa inakusaidia ehhNipo tu hapa lindoni dear, karibu tujumuike
Leo Niko home tu. Nyagi inanipelekesha hapa....nafungua geti rasmiView attachment 1264733
Wewe unaichukia pesa?Bae wapenda pesa ?
Alafu nakuja kwa pm yako

Waache wawe huru lindo lina watu wengi,wenyewe wakipeana mahaba wengine tunalindaTatizo sio shingo, ni macho.
Fanya utembee waangalia chini tu.
Mimi sipendi pesaWewe unaichukia pesa?
Karibu kama una ufunguo wa ziada![]()