Astelia
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 1,049
- 3,547
HayaNani nimemtongoza? Na unajua I'm shy guy
HayaNani nimemtongoza? Na unajua I'm shy guy
Hahaha hata mimi nimeona maana nilimmiss sanaUsijaribu tena kumsusia mke, unatakiwa ule tu ni wa kwako Thad kwahiyo mpe anachotaka
Asante mpenziNipo tu hapa lindoni dear, karibu tujumuike
@Thad kumbe aliachana na nanii kweli dunia inaenda kasi


Ongeza sauti sikusikii vizuri!Kumbe! kisa cha kutengana haukuwa muaminifu me najua tu kesi ni zilezilehuyo huwa ni mke wangu, kuna kipindi mwaka jana mwishoni tuliachana
Ndio tumeanza kuwasiliana mwezi huu so labda alichepuka
Nisamehe dada yangu🙂Asiyejua maana usimpe maana....ushaniharibia mtego
Ati uliona nini? Kipi kilikufanya uone aibu?Hahaha, umenikumbusha mbali
Nimewahi kusemwa sana na ex wangu, alinikalisha chini akanambia maneno mengi ikiwemo hilo
Niliona aibu sana![]()
BoraItakua aiseemaana dunia ndogo hii,
Kwa thad nimetulia sitomsumbua,umri nao umenitupa mkono
Nitakuja keshoUchagani ndani ndani huku hata usafiri hamna saivi.
Nilikua muaminifu sanaaaKumbe! kisa cha kutengana haukuwa muaminifu me najua tu kesi ni zilezile
Ati sina nini?hana msambwanda
Kuhusu kugeuka ,ahsante kwa kunipa siri mkuu, nitaenda hospital nifunge zile kitu wanafungwa wagonjwa wa shingo ili nisiangalie mademu wengine



Apambane tu na hali yakeNimekupenda bure hapo kwenye 'kutokugeuka nyuma'
Poa, karibu.Nitakuja kesho
Asiyejua maana usimpe maana....ushaniharibia mtego
si unaona watu wanavopenda tuwe pamoj hadi wananipa siri zakoUtajikuta unageuka mwili mzima kama robot.
Ukishageuka utaikumbuka hii post yangu![]()


wee mwache tu