Bradha
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 8,786
- 45,266
Kazi yako naitekeleza 120%
Safi,Nimeshajiandaa.
Nisije kuchelewa Ibada kesho.
Yeye Kila anaemuona anamtongozaAliku cheat ?
Msamehane tu,maisha ndio haya haya
Tulijifanya wahindi jambo ambalo kwa sisi wabongo ni ngumu
Safi,
Unitaje kwenye maombi aisee.
Wanawake hapo tu ndio huwa mnanichanganyaNilipovumilia ukaniona jinga nikiondoka huwa sigeuki nyuma
Ila nimekusamehe kuwa na amani

😂😂😂 Kumbe tuna mawazo mamoja(sawa).
Asante kwa mfano huo... Ipo siku ufafanuzi wa mfano huu utanisaidia kumwibulia mtu kesi🤣
Nadhani, wewe ndio utuambie.Mkuu
Kwani Thad ana msambwanda ?
Aisee nielekeze njia nije nikupe kampani

🙏🙏🙏🙏Yamefika
Naona umechukua nafasi ya head girlNimeshajiandaa.
Nisije kuchelewa Ibada kesho.
@Thad kumbe aliachana na nanii kweli dunia inaenda kasi
Kumbe humu inawezekana mm ndio niko bara giza kwa Anko magu pekee angu
Hahaha, umenikumbusha mbaliYeye Kila anaemuona anamtongoza

Kwani ujausikia ushauri wa dada yako ! Tupeane likizo ndefuCraze for your body oo
Sing for your body oo
Baby, mad for your body oo
Craze for your body eeh eh
Anything for your body oo
Girl I wanna take you personal
Fight for your matter like a wrestler