JamiiForums Usiku wa manane
Nalala ila ikifika saa8 usingizi unakata naanza kukesha ila nashukuru nipo na wenzangu humu tunafarijiana! Pia nashukuru kupata member mpya karibu sana..
Ahsante..... Hongera saana kwa kuamka saa 8 nashauri uutumie muda huo kusoma vitabu pia kuwasiliana na Muumba wako...hope tutakuwa pamoja huku siku kwa siku
 
Nmeona jina felister, nmemkumbuka dada mmoja hivi jina kama hilo tumesoma nae chuo, mdada alikua mzuri kishenzi, halaf black beauty, nilitamani sana kumtomba ila jitihada hazikufua dafu, niliishia kupigwa bonge la busu shavuni tu, dah
Teh! Teh!
 
Back
Top Bottom