Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Leo mmeniacha nimelinda peke yangu
Kesho ukiwa macho saa nane kamili usiku nitaweka vocha hapa, unaweza kuibahatisha.
Tigo 1, voda 1 na airtel 1.
Leo mmeniacha nimelinda peke yangu
Aisee kama nawaona wadau watakavyokodolea macho kwenye hii thread, nitajitahidi niwepo ila leo sijapata hata lepe la usingiziKesho ukiwa macho saa nane kamili usiku nitaweka vocha hapa, unaweza kuibahatisha.
Tigo 1, voda 1 na airtel 1.
Aisee kama nawaona wadau watakavyokodolea macho kwenye hii thread, nitajitahidi niwepo ila leo sijapata hata lepe la usingizi
Hao hao wanaofunguaHahaha, huu uzi unajua tunaupitia sisi wenyewe wadau, ambaye siyo member hata kuufungua hafungui.
Hao hao wanaofungua
Nitaivizia hiyo TgKesho ukiwa macho saa nane kamili usiku nitaweka vocha hapa, unaweza kuibahatisha.
Tigo 1, voda 1 na airtel 1.
Mbona umetukimboa🌏.?Abee!
Kesho ukiwa macho saa nane kamili usiku nitaweka vocha hapa, unaweza kuibahatisha.
Tigo 1, voda 1 na airtel 1.
Hamjambo humu ?
Thanks Don Clericuzio the man of your word.
We jamaa umepotea sana mpaka nikawaza ndo ushavuta kitengo huko kwa Tishekedi!
🙏hata ukikosa ukikosa eeh