Watu wako piemu hukoHivi ni mimi tu ndio niko macho muda huu au namna gani
Daah aisee wanaingia piemu usiku huu hawaogopi?Watu wako piemu huko
Nawe waenda hukohuko?
....na iwe rohoni kwako mtumishi......Amani ya Bwana iwe daima nanyi.
....na iwe rohoni kwako mtumishi......
Tupo, lindo langu leo halina taa.Walinzi hamuonekaniView attachment 1160046
Tupo, lindo langu leo halina taa.
C mchezoHili lindo linahitaji kupeana motivation aisee.
Iwe pia nawe DonAmani ya Bwana iwe daima nanyi.
Leo mmeniacha nimelinda peke yanguHili lindo linahitaji kupeana motivation aisee.