spade4spade
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 2,207
- 2,158
Last man standing 











Kushabikia Taifa Staz inataka moyo!Hatujafungwa bado mkuu, ile ilikua ni recorded, ilichezwa mwaka 1970.
Hatuko tayari kutapika mwaka huu kabisa.
Tunakuhitaji kwa mahojianoMewamiss humu ndani nikaona nivunje sheria tu
Ukuje na leo basi nipoInna usipite hivihivi
umeaga kule kumbe ushafika huku?Oi oi ,muda wa kuingia kazini sasa
Naona upo peke yako leo!Oi oi ,muda wa kuingia kazini sasa
Hahahaha, hakuna namna,ubaya mie ndio mlinzi mwandamizi acha tu nilinde mwenyeweNaona upo peke yako leo!
Nmeona baadhi pia wapo na pengine wataongezeka.Hahahaha, hakuna namna,ubaya mie ndio mlinzi mwandamizi acha tu nilinde mwenyewe
Mimi najua kuficha hela tu kwakweli, habari za Thad unanionea bure.Umemficha wap Thad?
Nmeona baadhi pia wapo na pengine wataongezeka.
Mambo vipi lakini.?
Tupo pamoja Boss,Poa kabisa, mie nipo kibandani hapa naanfgalia lindo vyema ,anaingia na kutoka zamu
Aisee, kuna asiyependa wazfa kweli, Yuda pamoja na kukaa kote na Yesu alifika bei.Mmmh mchaga na hela khaa