capitalpool
JF-Expert Member
- Sep 18, 2017
- 22,369
- 121,267
SAD!!!
mwisho wa yote sote tutakufa andHili suala la wapiganaji wetu wa Jeshi la Wananchi kulinda maduka yote ya Fedha za Kigeni Jijini Arusha limenishtua sana. Hakika nimefunzwa kazi za Jeshi ni adhimu mno ( Kulinda Katiba, Kulinda Mipaka na Dharura maalumu sana ). Sina hakika kama kulinda maduka ni dharura maalumu
Very true,mwisho wa yote sote tutakufa and
No one above the law thx
Ngoja tufikishe koroshow ghalani mwa Bwana alafu tutakutafuta tukuelezee kwa kina dharura maalum ni zipi.Hili suala la wapiganaji wetu wa Jeshi la Wananchi kulinda maduka yote ya Fedha za Kigeni Jijini Arusha limenishtua sana. Hakika nimefunzwa kazi za Jeshi ni adhimu mno ( Kulinda Katiba, Kulinda Mipaka na Dharura maalumu sana ). Sina hakika kama kulinda maduka ni dharura maalumu
Sawa nitasubiri maelezo kutoka kwako,Ngoja tufikishe koroshow ghalani mwa Bwana alafu tutakutafuta tukuelezee kwa kina dharura maalum ni zipi.
Hivi ulishawahi kufinya kiwanda cha kufyatulia na zipu kweli?What is the worst thing than a heart break? 🙁
Bora umekuja..umemisiwaKho! Kho! Kho!
Shaka ondoa kabisa, itabidi tukuletee na zawadi kidogo ya mabibo, inaonyesha u mdadisi sana.Sawa nitasubiri maelezo kutoka kwako,
Weka picha tuone kama kweli inaumaHivi ulishawahi kufinya kiwanda cha kufyatulia na zipu kweli?
Hebu jaribu uone mkuu utapata jibu.

Maumvu ya hiyo unasema huwa ni ya muda mfupi kulinganisha na hii nazungumzia hapa, heart break huchukua muda mrefu sana kurejea hali ya kawaida.Hivi ulishawahi kufinya kiwanda cha kufyatulia na zipu kweli?
Hebu jaribu uone mkuu utapata jibu.
Nilikwambia acha kuvuta tumbaku ukaniona sina akili.Kho! Kho! Kho!
Wewe na mwenzio ndo mmeniamsha, nilikuwa naota zangu niko majuu nakula bata...agrrrrr mmeniharibiaBora umekuja..umemisiwa


Njoo tulale!Nilikwambia acha kuvuta tumbaku ukaniona sina akili.
Nasikia kuna mtu pia mliahidi kumpatia zawadi, wakati wa kukabidhi mka waalika TAKUKURU!Shaka ondoa kabisa, itabidi tukuletee na zawadi kidogo ya mabibo, inaonyesha u mdadisi sana.
Mimi wala sijammis kabisa ujueBora umekuja..umemisiwa
