Nleterewa Nganengo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2016
- 5,007
- 11,318
Unazungumzia wale jamaa waliokuwa Lesotho??View attachment 938874

Tuko maeneo ya mpakani na eSwatin tunakuja taratibu na usafiri wa punda.
Unazungumzia wale jamaa waliokuwa Lesotho??View attachment 938874

Safari ya mbali lazima ianze kwa kupaa mkuu.Ya mbali inaanzaje mkuu
![]()
![]()
![]()
Tuko maeneo ya mpakani na eSwatin tunakuja taratibu na usafiri wa punda.


kama nawaona vile,,inabd mfikie Mtwara moja kwa mojaAsante sana mkuu!!uwe na wasaa mwema huko uliko....ngoja tuendeleze lindoNawasalimu wote mlio lindo, leo nipo kitengo maalum Tupo pamoja
Kwa lolote gum piga radio callAsante sana mkuu!!uwe na wasaa mwema huko uliko....ngoja tuendeleze lindo
Karibu mkuu, hicho kitengo maalumu kinajulikana?Nawasalimu wote mlio lindo, leo nipo kitengo maalum Tupo pamoja
kama nawaona vile,,inabd mfikie Mtwara moja kwa moja
![]()
![]()
![]()
Huko hatuwezi kufika mwaka huu, ni mpaka mwakani kwenye marudiano na watoto wa Mu7.
Ngoja tupumzike kidogo kwa King Mswati kesho tumedokezwa anataka kuongeza jiko.



Ni bora mfanye hvyo,hadi mwakan tyl hasira ztakuwa zmepungua kidogo huku mkiwa mnajipanga mnakuja na utetez kabsa
Ha ha ha bahati yenu.![]()
![]()
![]()
Hatujatumia hata senti moja, tukifika tunazirudisha zote, tulipanga tusizitumie kwanza mpaka tushinde.
Na kwako piaHata kama tumefungwa na Lesotho salam kwenu.
Hatujafungwa bado mkuu, ile ilikua ni recorded, ilichezwa mwaka 1970.Hata kama tumefungwa na Lesotho salam kwenu.